Nanyimwa penzi mpaka nikatoe mahari

Nanyimwa penzi mpaka nikatoe mahari

".....tunalala tunachezeana ila nikitaka kuzamisha tu napigwa stop kuwa muda hujafika..."

with all due respect;

1. humjachezea inavyopaswa
2. hana hisia
3. hamjui namna ya kuchezeana.
 
Huwa anakuja nyumbani tunalala tunachezeana...

Aisee!

Sio ku-support uzinzi ila hii HAIKUBALIKI. Ni either unipe vyote au uninyime vyote.


Baada ya kusema hayo OA MKUU!
 
Hahahahahaah hivi kumbe kuna wanawake Wa hivi???????sasa huyo mwanamke ameshawahi kufirigiswa????kama hajawahi kweli me naunga mkono hoja,nenda Katoe mahari ila kama kashafirimbwa vya kutosha amekurahisishia kazi mwambie mkapime na ukimwi kabisa na magonjwa ya zinaa ndo ukatoe mahari.maana so kwa kuzuga huko uwezi jua Mungu anakuepushua nini.
 
Habari wana jamii,

Naombeni ushauri wenu kuna mdada nimempenda sana nilimuomba awe mke wangu siku za usoni. Basi akanikubalia ila aliweka sharti moja kuwa tuwe wapenzi wa kawaida bila kuhusisha mambo ya mapenzi mpaka pale nitakapokuwa mume halali kwake.

Nikamkubalia nikijua siku za mwanzoni ni hofu kuna siku atalegeza msimamo kama kawaida yao. Ni mwaka sasa kiukweli sijapewa pamoja na kuomba sana. Huwa anakuja nyumbani tunalala tunachezeana ila nikitaka kuzamisha tu napigwa stop kuwa muda hujafika. Anachotaka yeye mimi nikajitambulishe, namwambia bado tunajipanga ila tunaweza kuendelea ila hataki.

Tumeshatambulishana kwa ndugu wote jamaa na marafiki ila ndio hivyo sipewi nifanyaje na mimi nina hamu nae. Ananilinda sana nisichepuke akipiga simu sijapokea dakika mbili yupo home kwangu. Hata kuchepuka siwezi nina muda mrefu sana sijapiga mambo.

Ni kwamba haniamini ama inakuaje hapa?

Aisee kumbe kuna wadada wa aina hii bado? Mungu amzidishie huyu anayewindwa na Mbwa Mwitu huyu baraka zake. Azidi kuwa mwangalifu na wenye tabia kama za mtoa sredi, akapate mme na si panya buku kama huyu ambaye hajui hata thamani ya ndoa. Dada kaza buti. Ukimuona anaomba ushauri ujue alikuwa anategemea mteremko kama mingine.
 
heee! kwa mfano ndo tukimuunga mkono demu wako kwa jambo analofanya, wewe utaenda kumuacha au utachukua uamuzi gani? kwanza kama una hamu nae kiasi hicho kwanini usimuoe kweli ili usipate shida hiyo au unataka kumchezea tu mtoto wa watu? heshimu maamuzi yake, huyo ndo mwanamke anayetakiwa sawa kwenye jamii hii, kwani usipoduu kwa wakati huu hadi mtakapoona utakufa? mimi mwenyewe napenda nipate msichana wa aina hiyo hujui anakuepusha na mangapi na anakuonyesha njia ipi iliyo sahihi. Mwanaume Wa Kweli Ni Mjengaji Si Mbomoaji.
Hata mi nasubiri mwaume wa kusubiri [emoji4][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Hivi unawezaje kulala na KE usiku kucha bila kufanya chochote? Kweli watu wengine mmebarikiwa uvumilivu. Endelea tuu kusubiri mkuu. Pia ni PM namba zake nikusaidie kumpa ushauri
 
Habari wana jamii,

Naombeni ushauri wenu kuna mdada nimempenda sana nilimuomba awe mke wangu siku za usoni. Basi akanikubalia ila aliweka sharti moja kuwa tuwe wapenzi wa kawaida bila kuhusisha mambo ya mapenzi mpaka pale nitakapokuwa mume halali kwake.

Nikamkubalia nikijua siku za mwanzoni ni hofu kuna siku atalegeza msimamo kama kawaida yao. Ni mwaka sasa kiukweli sijapewa pamoja na kuomba sana. Huwa anakuja nyumbani tunalala tunachezeana ila nikitaka kuzamisha tu napigwa stop kuwa muda hujafika. Anachotaka yeye mimi nikajitambulishe, namwambia bado tunajipanga ila tunaweza kuendelea ila hataki.

Tumeshatambulishana kwa ndugu wote jamaa na marafiki ila ndio hivyo sipewi nifanyaje na mimi nina hamu nae. Ananilinda sana nisichepuke akipiga simu sijapokea dakika mbili yupo home kwangu. Hata kuchepuka siwezi nina muda mrefu sana sijapiga mambo.

Ni kwamba haniamini ama inakuaje hapa?

Kaka usikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia
Shake b4 use ndio habari ya mjini
 
hii staili ya kunyimwa penzi mpaka ndoa ilinikuta baada mwenyewe akaniambia ameshauriwa na watu wake wa karibu aninyime mpaka nitangaze ndoa...nikawa namuuliza huku nacheka kwahiyo hizo za nyuma tulikuwa kwenye ndoa...kiukweli nilikuwa soon nikajitambulishe kwao,hakuna kitu sipendi kama kulazimishwa ndoa bila nafsi yangu kutaka yenyewe.nikitazama kama anawashauri kwahiyo ata siku nimuweka ndani tatizo likitokea washauri wake ndio watatatua..nikaomba holiday ya kutafakari kutoka kwake hiyo ndio my own rule ya kuondoka
Ulifanya la maana sana mkuu, mwanamke wa kushikiwa akili na wenzie ni bomu la kiazi likikuponyoka muda wowote ni madhara makubwa!
 
Back
Top Bottom