Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
Kama ni bikra vumilia mpaka utapotoa mahari kama alivotaka mwenyewe kama sio bikra inawezekana kwa bed ni zero so katika mahusiano yake yaliyopita labda alisex na wanaume wawili au watatu na katika hao wote waliposex nae tu wakambwaga na pengine na wao walimuingia kwa gia hiyohiyo ya kumuoa,kwa hiyo anaogopa na kwako isijetokea hivo ndo mana kakuwekea mgomo mpka utapotoa mahari maana anajua ukifanya hivo itakua ngumu kumbwaga.