Mkuu hongera kwa uvumilivu na uaminifu.Sasa ili ucje kufa kwa nyg pitisha donei ya mahari hapa JF ukalipe fasta. Weka namba yako ya M/Tigo pesa nikutumie buku la kianzio.
wanawake huwa wana mbinu sana. Never trust a woman.
Anaweza kukubania ila kuna mwingine huko anapewa with free charge
Nenda kalipe mahar tu mr ukate mzizi wa fitina
marahaba mkuu.
Hawa wanawake ni pasua kichwa, usikute hapo ana kalai ss anaona akimpa jamaa atasepa km wengine walivyofanya. Bikira hana kubana abane duh!
Ila hawa viumbe ni waajabu sana, anaweza akakuruhusu ukamtomasa mpaka ww ukajiambie leo mtoto anatoa mzigo, ukitaka kuchomeka tu anakuuliza unataka kufanya nn?
Hapa huwaga nachoka kbsa
mimi nakelwa na kauli ya bado najipanga!!!!! Mtu kakwambia ulipe mahal hajataka ndoa sa unajiangaje?? kwan we nguo kabatini??? mwanaume wa ivo akisha weka dudu sahau na utabakia unaambiw kila ck najipanga!!!!
huo ni uzoba kuna kasharobaro pembeni kanammega we toa mahari nusu ili ukizuzue kagegede alafu chapa lapa kanakuona huvutii ndo maana akakupi aisee kudadadeki
hii staili ya kunyimwa penzi mpaka ndoa ilinikuta baada mwenyewe akaniambia ameshauriwa na watu wake wa karibu aninyime mpaka nitangaze ndoa...nikawa namuuliza huku nacheka kwahiyo hizo za nyuma tulikuwa kwenye ndoa...kiukweli nilikuwa soon nikajitambulishe kwao,hakuna kitu sipendi kama kulazimishwa ndoa bila nafsi yangu kutaka yenyewe.nikitazama kama anawashauri kwahiyo ata siku nimuweka ndani tatizo likitokea washauri wake ndio watatatua..nikaomba holiday ya kutafakari kutoka kwake hiyo ndio my own rule ya kuondoka
Trust Issue Bhana Ni Pana Kdogo Ila Shez Right Wakat Mwngne Jitahd Usiendeshwe Kwa Hisia Za Matamanio Kama Unataka Kuoa Unles Otherwise Ila Tulia So That U Observe... Ukiridhia Peleka Posa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.