RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,524
Hongera mkuu Nanyaro!!
Wapenda maendeleo hatupendi ubinafsi, chuki, kuficha ficha mambo yasiyokuwa na umuhimu wa kificha na kujifanya wewe kwa kuwa ni kiongozi basi uko juu ya sheria.
Tunapenda kuona ubunifu katika kuongoza chama, sehemu yako ya uongozi pamoja na kuwasaidia wananchi bila kuwabagua itikadi zao, kwani ukifanya hivyo utakuwa unaonyesha taswira halisi ya wafuasi wa chama (ambao wengi tuna moyo wa uzalendo), chama chetu chenyewe pamoja na kuwavutia zaidi watu waliochelewa kuungana nasi.
Wapenda maendeleo hatupendi ubinafsi, chuki, kuficha ficha mambo yasiyokuwa na umuhimu wa kificha na kujifanya wewe kwa kuwa ni kiongozi basi uko juu ya sheria.
Tunapenda kuona ubunifu katika kuongoza chama, sehemu yako ya uongozi pamoja na kuwasaidia wananchi bila kuwabagua itikadi zao, kwani ukifanya hivyo utakuwa unaonyesha taswira halisi ya wafuasi wa chama (ambao wengi tuna moyo wa uzalendo), chama chetu chenyewe pamoja na kuwavutia zaidi watu waliochelewa kuungana nasi.