Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Status
Not open for further replies.
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.

Itakuwa vyema sana, hasa baada ya ndugu yetu, kinara mkuu wa JF Mwanakijiji kujitambulisha, itakuwa vyema ajumuike na wenzie Shayo na Mashaka , na wengineo ili kuiokoa Tanzania. Waheshimiwa, inabidi tulijadili ili swala kwa busara siyo kujadili watu kama ilivyo kawaida yetu.

Je Vijana hawa waingie kwenye Kinyang'anyiro cha 2010 au Wasubiri hadi 2015 mafisadi wazidi kuimaliza nchi kwanza?
Mwanakijiji tunakuomba ujitambulishe rasmi ili pamoja na HS pamoja na JM tuwape kura kuiongoza Tanzania, Tumechoka na Ufisadi na pia tumechoshwa na mafisadi. Hawa ndio dawa, na watakuwa mwiba kwa mafisadi tukiwapa mikono na mibaraka kuingoza taifa. Hatuna namna

Ha ha ha what a joke!!
I guess these guys cannot even handle an extra mistress let alone a wife!!!
 
Semenya

Naona umejiandikia tuu angalau na wewe uonekane, hebu uongozi ni nini? si vema kumuhukumu mtu kwa hisia zako.
mkuu hivi kweli watanzania tunaweza kumpa mtu nchi kisa tu anaandika sana ajarida na anauwezo wa kuchambua mambo ya siasa..Nchi sio kitu rahisi kuongoza...kama ni hivyo tu basi hata prof shivji anaweza kuwa rais.
hata nchi nyingine kuwa kiongozihatuangalii sifa ya kuandika articles, me nawakubali akina Mashaka et al lakini sio tu sifa hiyo iweze kuwaweka kuwa Rais wa nchi ya Tanzania...watu kama akina Zitto, Migiro na Salim ukiniambia hao naweza kusema mewaona uwezo wao wa uongozi so tunaweza chuja kuwapa au kutokuwapa.

mwaka 2015 hatutakiwi kuingia mkenge kama 2005,huo ndo mwaka wa mageuzi kama upo tayari kumpa tu sifa mtu yakuwa rais kwaajili anaandika articles sawa mkuu lakini sio mimi. Ntakua makini sana 2015....kupiga kura yangu..najua 2010 tutawekewa sinema Mjomba atashinda tu...
 
Mtoa hoja hueleweki!
1. Weka CV zao na kazi gani wanafanya, wamefanya kwenye jamii so far? tuwa asses!
2. Nani amewakataza kwenda kuchukua nchi..si wanajua mchakato let them go..tuwaone majukwaani kama wenzao wenye nia kama hiyo
3. Uongozi siyo kuandika kwenye forum...JF mwanakijiji atafanya cha maana kwa threads anazochangia..ni wale wale...tu Hana Jipya...
4. Watasaidia sana wakiendelea kutoa mchango wao through JF inatosha...zaidi ya hapo wataboa...
 
afu wakuu urais haupatikani kwenye JF na blogs nyingine...urais unapatikana mitaani na vijijini..wangapi leo hii TZ wanauwezo wa ku access internet....waanze kujiingiza huko na si kutuandikia kwenye blogs tu na magazeti.....kwanza watu wa JF tu karibia robo yao wako nje ya nchi na ndo wengi active members wa humu...URAIS SIO MCHEZO muulizeni Mjomba
 
Wakulu JF, salaam mbele sana

- Look here huu unafiki utatuua wa-Tanzania, tujifunze kuwa part of the solution badala ya kila siku kukazania kuwa part of the problem kwa sababu hatuwezi ku-make any progress needed as a nation na this kind of negative thinking,

- I mean kila siku tunalia hapa kwamba viongozi wengi tulionao hawafai, sasa here comes a suggestion kutoka kwa mwananchi mwenye uchungu na taifa lake, kwamba kwa maoni yake hao aliowataja anaamini kwamba wanaweza kulisaidia taifa letu kiuongozi, wakipewa nafasi na hasa za juu kwa uongozi wa taifa letu, huyu anajaribu kuwa part of the solution,

- Wanatokea the usuals, no progress no positive thinking, no nothing ila kubeza beza tu bila hoja, sometimes JF tunajishusha hadhi wenyewe, one day Mkulu Mwanakijiji ni semi-God, the next day hawezi kuwa kiongozi ni mchangiaji wa internent tu!, just nonesense at best. JF inapaswa kuwa ni taasisi ya ushauri wa bure kwa taifa letu, na sio siri we are very good at it sasa iweje tena members wa hii taasisi tusiwe na huo uwezo wa kuongoza hili taifa ambalo we are very good at analysing its core problems?

- Kuna mijitu inashauri eti weka CV zao hapa, hivi mna maana kwamba CV ya Kikwete na wenzake hazifahamiki? Sasa kama CV ni the naswer then kwa nini tumekwama as a nation? Kama CV ni the answer kwa nini tunalia hapa JF na viongozi wetu kila kukicha? Wakuu stop this madness, heshimu wanaokuzidi vipaji, heshimu wanaoukuzidi maarifa, wanaokuzidi uwezo wa kufikiri ndio the only way tunaweza kupata viongozi wanaotufaa kwa taifa letu!

- Sijui Cv za Mkulu Mwanakijiji na John Mashaka, lakini kwa maoni yao niliyowahi kuyasoma sehemu nyingi sana internent na magazetini, ninaamini they could do better to our nation than viongozi kama Kingunge, Mzindakaya, Lowassa, Karamagi, Mbowe, Lipumba, Mwakipesile, na wengineo wengi maviongozi magoi goi tuliojaza kwenye serikali yetu!

Go Mwanakijiji na John Mashaka!

Ahsante!

Ni Kutoka Kwangu:- William Malecela.
 
Wakulu JF, salaam mbele sana

- Look here huu unafiki utatuua wa-Tanzania, tujifunze kuwa part of the solution badala ya kila siku kukazania kuwa part of the problem kwa sababu hatuwezi ku-make any progress needed as a nation na this kind of negative thinking,

- I mean kila siku tunalia hapa kwamba viongozi wengi tulionao hawafai, sasa here comes a suggestion kutoka kwa mwananchi mwenye uchungu na taifa lake, kwamba kwa maoni yake hao aliowataja anaamini kwamba wanaweza kulisaidia taifa letu kiuongozi, wakipewa nafasi na hasa za juu kwa uongozi wa taifa letu, huyu anajaribu kuwa part of the solution,

- Wanatokea the usuals, no progress no positive thinking, no nothing ila kubeza beza tu bila hoja, sometimes JF tunajishusha hadhi wenyewe, one day Mkulu Mwanakijiji ni semi-God, the next day hawezi kuwa kiongozi ni mchangiaji wa internent tu!, just nonesense at best. JF inapaswa kuwa ni taasisi ya ushauri wa bure kwa taifa letu, na sio siri we are very good at it sasa iweje tena members wa hii taasisi tusiwe na huo uwezo wa kuongoza hili taifa ambalo we are very good at analysing its core problems?

- Kuna mijitu inashauri eti weka CV zao hapa, hivi mna maana kwamba CV ya Kikwete na wenzake hazifahamiki? Sasa kama CV ni the naswer then kwa nini tumekwama as a nation? Kama CV ni the answer kwa nini tunalia hapa JF na viongozi wetu kila kukicha? Wakuu stop this madness, heshimu wanaokuzidi vipaji, heshimu wanaoukuzidi maarifa, wanaokuzidi uwezo wa kufikiri ndio the only way tunaweza kupata viongozi wanaotufaa kwa taifa letu!

- Sijui Cv za Mkulu Mwanakijiji na John Mashaka, lakini kwa maoni yao niliyowahi kuyasoma sehemu nyingi sana internent na magazetini, ninaamini they could do better to our nation than viongozi kama Kingunge, Mzindakaya, Lowassa, Karamagi, Mbowe, Lipumba, Mwakipesile, na wengineo wengi maviongozi magoi goi tuliojaza kwenye serikali yetu!

Go Mwanakijiji na John Mashaka!

Ahsante!

Ni Kutoka Kwangu:- William Malecela.
mzee nchi si blog au gazeti na si kwaajili wewe uliongea nao basi ndo wanawafikia kila mtu..wajionyeshe kwa watanzania takriban milioni 25/40 ambao wanaweza kuwa ndo wapiga kura..kiongozi wa nchi lazma awe na experience ya uongozi..hao akina JK walishaongoza sehem mbalimbali, angalau uwaziri...watu mkampa kura kwa vigezo mlivyotumia...so waambie wajitangaze tuwajue.
but the whole thing is simply a joke, watanzania tumedhalilishwa
 
Mkitupa nchi sisi, tutawafunga wote hawa kuanzia Mkapa na genge lake na makuwadi wote wa ufisadi. Within a year kutakuwa na law and order katika taifa letu na watu wataogopa fedha za umma kama ukoma! Lakini upande mwingine, wenye CVs na uwezo wao kuongoza si ndio wako madarakani?


Tanzania haitaji mlolongo wa sifa zinahitaji watu wenye uwezo wa kuongoza na siyo wenye uwezo mkubwa wa kufuata!.

On the other hand, watu walipopewa uchaguzi kati ya Baraba na Yesu walimchagua nani na kwa nini?

ushauri wangu, Watanzania waendelee kuwakumbatia hao hao viongozi wao waliowazoea na wanaojua maana sisi wasiotujua tutakuwa kina Hugo Chavez, Ahmedinajad, na kina Obama wa kizazi kipya.

Hivyo, hapana nchi wapeni hao hao waendelee kutafuna hadi wakigusa mifupa ndio mtake kuwabadilisha!
 
Mkitupa nchi sisi, tutawafunga wote hawa kuanzia Mkapa na genge lake na makuwadi wote wa ufisadi. Within a year kutakuwa na law and order katika taifa letu na watu wataogopa fedha za umma kama ukoma! Lakini upande mwingine, wenye CVs na uwezo wao kuongoza si ndio wako madarakani?


Tanzania haitaji mlolongo wa sifa zinahitaji watu wenye uwezo wa kuongoza na siyo wenye uwezo mkubwa wa kufuata!.

On the other hand, watu walipopewa uchaguzi kati ya Baraba na Yesu walimchagua nani na kwa nini?

ushauri wangu, Watanzania waendelee kuwakumbatia hao hao viongozi wao waliowazoea na wanaojua maana sisi wasiotujua tutakuwa kina Hugo Chavez, Ahmedinajad, na kina Obama wa kizazi kipya.

Hivyo, hapana nchi wapeni hao hao waendelee kutafuna hadi wakigusa mifupa ndio mtake kuwabadilisha!
Baada ya kuwafunga kingine ni kipi utakachofanya?
Sasa utakaa miaka mitano unafunga kina lowassa na mkapa...lete issues...nyingine of importance
Malecela,
Unachekesha kweli..waliomfanya mwanakijiji semi- god ni nani..jisemee nafsi yako mimi namuona mlalamisha hana issue
Taratibu za kuchukua nchi zipo aende nani amemnyima..tukutane naye majukwaani...siyo kwenye JF
So far anafaa zaidi kwenye JF (ameonyesha anaweza kulalamika best at that) ....nafikiri aweke juhudi hapa hapa
Vinginevyo tunamsubiri kwenye field...Jukwaani na vijijini akimwaga sera..
 
Baada ya kuwafunga kingine ni kipi utakachofanya?

Ni mengi tu ambayo yanawezekana. Baadhi ya mambo ya kufanya baada ya mafanikio ya project-X:2010 ni haya:

a. Kuanzisha mchakato wa uandishi wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano na kuikamilisha ndani ya miaka miwili. Katiba hiyo:

- Itagawa madaraka kati ya Utendaji kati ya Rais na Waziri Mkuu
- Waziri Mkuu ataunda Baraza la Mawaziri litakalokubaliwa na Rais
- Tutatatua kero za Muungano kwa kurudi kwenye makubaliano ya Muungano ya 1964 (Articles of the Union) na kufanya mazungumzo mapya ya kuhakikisha serikali ya Tanganyika nayo inarudi (Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar zitaongozwa na Mawaziri Viongozi na serikali zao- Tanzania itakuwa na Rais Mmoja tu!)
- Tutapunguza wingi wa Wabunge na kuligawa Bunge sehemu mbili zinazosimamiana na hivyo kuwa na bicameral parliament (Seneti na Baraza la Wawakilishi)
- Tutaweka mipaka ya matumizi ya kinga ya Rais ili iwe rahisi kuivua kinga hiyo katika mazingira fulani fulani.
- Mawaziri hawatalazimishwa kutoka miongoni mwa wabunge.

b. Tutasitisha mikataba yote mikubwa ya madini na kuipitia upya na kukubaliana na wawekezaji upya. Mwekezaji ambaye hataki kukaa chini upya tutamsaidia kufunga virago vyake bila ya kumuomba msamaha! Tutaanza na Barricks na wenzake!

Tutahakikisha mikataba yote inayohusisha raslimali za taifa letu (madini, ardhi, mbuga n.k) inatajirisha kwanza kabisa (siyo pili au tatu) wana na mabinti wa taifa hili. Mwekezaji yoyote ambaye atataka yeye atajirike kwanza tutamtimua siku ya pili ya kutoa kauli hiyo! Hatuna kubembeleza mtu yeyote yule.

And you ask: "sasa wawekezaji wakikimbia si ndio nchi itakwama"? Hayo ni mawazo ya Kikwete ambayo hayamo katika fikra zangu!


c. Tutarudisha baadhi ya mashirika mikononi mwa serikali katika mtindo wa private-public management. Miongoni mwao ni pamoja na NBC, Simu, Umeme, n.k Details nyingine hapa ninaziweka kapuni.

d. Tutaiokoa TRL na kuirudisha kuwa TRC na kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja shirika hili linajiendesha lenyewe likiwa na menejimenti ya Watanzania na likiwa ni shirika lenye huduma na uwezo wa hali ya juu kabisa ya kusafirisha abiria na mizigo. Blueprint ya mpango huu tayari imeshakimilika.

Hayo ni machache tu; mengine subiri the "Real Deal: Contract with Tanzanians" kama sehemu ya P-X:2010.

Change is coming.. be part of it au kaa pembeni!
 
Ni mengi tu ambayo yanawezekana. Baadhi ya mambo ya kufanya baada ya mafanikio ya project-X:2010 ni haya:

a. Kuanzisha mchakato wa uandishi wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano na kuikamilisha ndani ya miaka miwili. Katiba hiyo:

- Itagawa madaraka kati ya Utendaji kati ya Rais na Waziri Mkuu
- Waziri Mkuu ataunda Baraza la Mawaziri litakalokubaliwa na Rais
- Tutatatua kero za Muungano kwa kurudi kwenye makubaliano ya Muungano ya 1964 (Articles of the Union) na kufanya mazungumzo mapya ya kuhakikisha serikali ya Tanganyika nayo inarudi (Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar zitaongozwa na Mawaziri Viongozi na serikali zao- Tanzania itakuwa na Rais Mmoja tu!)
- Tutapunguza wingi wa Wabunge na kuligawa Bunge sehemu mbili zinazosimamiana na hivyo kuwa na bicameral parliament (Seneti na Baraza la Wawakilishi)
- Tutaweka mipaka ya matumizi ya kinga ya Rais ili iwe rahisi kuivua kinga hiyo katika mazingira fulani fulani.
- Mawaziri hawatalazimishwa kutoka miongoni mwa wabunge.

b. Tutasitisha mikataba yote mikubwa ya madini na kuipitia upya na kukubaliana na wawekezaji upya. Mwekezaji ambaye hataki kukaa chini upya tutamsaidia kufunga virago vyake bila ya kumuomba msamaha! Tutaanza na Barricks na wenzake!

Tutahakikisha mikataba yote inayohusisha raslimali za taifa letu (madini, ardhi, mbuga n.k) inatajirisha kwanza kabisa (siyo pili au tatu) wana na mabinti wa taifa hili. Mwekezaji yoyote ambaye atataka yeye atajirike kwanza tutamtimua siku ya pili ya kutoa kauli hiyo! Hatuna kubembeleza mtu yeyote yule.

And you ask: "sasa wawekezaji wakikimbia si ndio nchi itakwama"? Hayo ni mawazo ya Kikwete ambayo hayamo katika fikra zangu!


c. Tutarudisha baadhi ya mashirika mikononi mwa serikali katika mtindo wa private-public management. Miongoni mwao ni pamoja na NBC, Simu, Umeme, n.k Details nyingine hapa ninaziweka kapuni.

d. Tutaiokoa TRL na kuirudisha kuwa TRC na kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja shirika hili linajiendesha lenyewe likiwa na menejimenti ya Watanzania na likiwa ni shirika lenye huduma na uwezo wa hali ya juu kabisa ya kusafirisha abiria na mizigo. Blueprint ya mpango huu tayari imeshakimilika.

Hayo ni machache tu; mengine subiri the "Real Deal: Contract with Tanzanians" kama sehemu ya P-X:2010.

Change is coming.. be part of it au kaa pembeni!
mkuu mipango mizuri sana, ila mda maana sidhani kama katiba inatengenezwa kwa miaka miwili mkuu
 
Ni mengi tu ambayo yanawezekana. Baadhi ya mambo ya kufanya baada ya mafanikio ya project-X:2010 ni haya:

a. Kuanzisha mchakato wa uandishi wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano na kuikamilisha ndani ya miaka miwili. Katiba hiyo:

- Itagawa madaraka kati ya Utendaji kati ya Rais na Waziri Mkuu
- Waziri Mkuu ataunda Baraza la Mawaziri litakalokubaliwa na Rais
- Tutatatua kero za Muungano kwa kurudi kwenye makubaliano ya Muungano ya 1964 (Articles of the Union) na kufanya mazungumzo mapya ya kuhakikisha serikali ya Tanganyika nayo inarudi (Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar zitaongozwa na Mawaziri Viongozi na serikali zao- Tanzania itakuwa na Rais Mmoja tu!)
- Tutapunguza wingi wa Wabunge na kuligawa Bunge sehemu mbili zinazosimamiana na hivyo kuwa na bicameral parliament (Seneti na Baraza la Wawakilishi)
- Tutaweka mipaka ya matumizi ya kinga ya Rais ili iwe rahisi kuivua kinga hiyo katika mazingira fulani fulani.
- Mawaziri hawatalazimishwa kutoka miongoni mwa wabunge.

b. Tutasitisha mikataba yote mikubwa ya madini na kuipitia upya na kukubaliana na wawekezaji upya. Mwekezaji ambaye hataki kukaa chini upya tutamsaidia kufunga virago vyake bila ya kumuomba msamaha! Tutaanza na Barricks na wenzake!

Tutahakikisha mikataba yote inayohusisha raslimali za taifa letu (madini, ardhi, mbuga n.k) inatajirisha kwanza kabisa (siyo pili au tatu) wana na mabinti wa taifa hili. Mwekezaji yoyote ambaye atataka yeye atajirike kwanza tutamtimua siku ya pili ya kutoa kauli hiyo! Hatuna kubembeleza mtu yeyote yule.

And you ask: "sasa wawekezaji wakikimbia si ndio nchi itakwama"? Hayo ni mawazo ya Kikwete ambayo hayamo katika fikra zangu!


c. Tutarudisha baadhi ya mashirika mikononi mwa serikali katika mtindo wa private-public management. Miongoni mwao ni pamoja na NBC, Simu, Umeme, n.k Details nyingine hapa ninaziweka kapuni.

d. Tutaiokoa TRL na kuirudisha kuwa TRC na kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja shirika hili linajiendesha lenyewe likiwa na menejimenti ya Watanzania na likiwa ni shirika lenye huduma na uwezo wa hali ya juu kabisa ya kusafirisha abiria na mizigo. Blueprint ya mpango huu tayari imeshakimilika.

Hayo ni machache tu; mengine subiri the "Real Deal: Contract with Tanzanians" kama sehemu ya P-X:2010.

Change is coming.. be part of it au kaa pembeni!
Welcome to the real battle....
 
Ni mengi tu ambayo yanawezekana. Baadhi ya mambo ya kufanya baada ya mafanikio ya project-X:2010 ni haya:

a. Kuanzisha mchakato wa uandishi wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano na kuikamilisha ndani ya miaka miwili. Katiba hiyo:

- Itagawa madaraka kati ya Utendaji kati ya Rais na Waziri Mkuu
- Waziri Mkuu ataunda Baraza la Mawaziri litakalokubaliwa na Rais
- Tutatatua kero za Muungano kwa kurudi kwenye makubaliano ya Muungano ya 1964 (Articles of the Union) na kufanya mazungumzo mapya ya kuhakikisha serikali ya Tanganyika nayo inarudi (Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar zitaongozwa na Mawaziri Viongozi na serikali zao- Tanzania itakuwa na Rais Mmoja tu!)
- Tutapunguza wingi wa Wabunge na kuligawa Bunge sehemu mbili zinazosimamiana na hivyo kuwa na bicameral parliament (Seneti na Baraza la Wawakilishi)
- Tutaweka mipaka ya matumizi ya kinga ya Rais ili iwe rahisi kuivua kinga hiyo katika mazingira fulani fulani.
- Mawaziri hawatalazimishwa kutoka miongoni mwa wabunge.

b. Tutasitisha mikataba yote mikubwa ya madini na kuipitia upya na kukubaliana na wawekezaji upya. Mwekezaji ambaye hataki kukaa chini upya tutamsaidia kufunga virago vyake bila ya kumuomba msamaha! Tutaanza na Barricks na wenzake!

Tutahakikisha mikataba yote inayohusisha raslimali za taifa letu (madini, ardhi, mbuga n.k) inatajirisha kwanza kabisa (siyo pili au tatu) wana na mabinti wa taifa hili. Mwekezaji yoyote ambaye atataka yeye atajirike kwanza tutamtimua siku ya pili ya kutoa kauli hiyo! Hatuna kubembeleza mtu yeyote yule.

And you ask: "sasa wawekezaji wakikimbia si ndio nchi itakwama"? Hayo ni mawazo ya Kikwete ambayo hayamo katika fikra zangu!


c. Tutarudisha baadhi ya mashirika mikononi mwa serikali katika mtindo wa private-public management. Miongoni mwao ni pamoja na NBC, Simu, Umeme, n.k Details nyingine hapa ninaziweka kapuni.

d. Tutaiokoa TRL na kuirudisha kuwa TRC na kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja shirika hili linajiendesha lenyewe likiwa na menejimenti ya Watanzania na likiwa ni shirika lenye huduma na uwezo wa hali ya juu kabisa ya kusafirisha abiria na mizigo. Blueprint ya mpango huu tayari imeshakimilika.

Hayo ni machache tu; mengine subiri the "Real Deal: Contract with Tanzanians" kama sehemu ya P-X:2010.

Change is coming.. be part of it au kaa pembeni!


Mkuu, nimependa mapendekezo yako, ila hapo kwenye kipengele "a" umezungumzia mabadiliko ya katiba kwa uhakika utadhani ukishaamua wewe basi wengine wote "Watasema zidumu fikra za Mwanakijiji" na kuafiki yote kama yalivyo..!!
 
Mkuu, nimependa mapendekezo yako, ila hapo kwenye kipengele "a" umezungumzia mabadiliko ya katiba kwa uhakika utadhani ukishaamua wewe basi wengine wote "Watasema zidumu fikra za Mwanakijiji" na kuafiki yote kama yalivyo..!!

Hujamwelewa vizuri. Rejea aliyoandika. I'm not endorsing any of his views, lakini ni wazi kaandika angeshughulikia hiyo mikakati akiwa pamoja na wenzake (whoever they may be). Hajasema ataamua na kutekeleza yote yeye pekee yake
 
meona eehhh kaziii kwelikwelii urais jamani si lele mama, leo obama afghanstan kunamshinda na ndo exit yake hiyo 2012
 
kiongozi wa nchi lazma awe na experience ya uongozi..hao akina JK walishaongoza sehem mbalimbali, angalau uwaziri...watu mkampa kura kwa vigezo mlivyotumia...so waambie wajitangaze tuwajue.

- Mkuu ni kweli wanazo experience za uongozi, sasa kama kweli hizo experience zinawasiaidia katika uongozi, sasa hapa JF tunapigia kelele za nini kila siku? Taifa limeoza, wewe unasema wanaotuongoza wana experience za uongozi wa uwaziri! Hivi taifa hili tumelogwa na nani mpaka hatuwezi kufikiri sawa sawa!

Ahsante.

William.
 
Mkitupa nchi sisi, tutawafunga wote hawa kuanzia Mkapa na genge lake na makuwadi wote wa ufisadi. Within a year kutakuwa na law and order katika taifa letu na watu wataogopa fedha za umma kama ukoma! !

- Saafi sana mkuu, ninasema sana na mara nyingi kwamba maliza ufisadi kwanza na mengine yote yatajipanga yenyewe, lakini taifa lisilo heshimu sheria kama la kwetu kulisafisha ni lazima uanze na the law and order kwanza!
tupo pamoja sana hapo.

Ahsante.

William.
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.

John Mashaka na Shao wapewe nchi hii kwa sababu wanaandika na kuongea sana kimombo kwenye blog ya michuzi au kwa sababu ipi ingine mpya?

Watu wengi nadhani wanatishika na kimombo cha John Mashaka,lkn ukigeuza hoja zake hizo za kizungu na ukaleta kwa kiswahili utagundua kabisa kuwa uchambuzi wake wa uchumi wa tz ni sawa na wa mtoto wa darasa la saba au sana sana form 2!

Ni nani asiyejua kuwa tz maskini kwa sababu za madhara ya ukoloni mkongwe,au kwa sababu ya rushwa,au kwa sababu ya elimu duni ambapo bado tunatumia njia za kale kuendeleza resources zetu ,au kwa sababu ya utawala mbovu usizingatia maslahi ya walio wengi?

Sasa Mashaka akiongea mambo kama haya kizungu ndiyo watz wanapigana kweli kweli kumpigia debe awe hata Mkuu wa nchi?Mtoa hoja narudia tena chukua articles zote za Mashaka kuhusu muktabari wa tz na uchumi wake then badili kwa Kiswahili utagundua jamaa ni mweupue mnoooo!

Hata yeye Mashaka na Shao wanajua hilo na ndiyo kuwapata watu kama nyie wanakazana kweli kweli kuandika kizungu,Mbona Mwanakijiji anatema moto mkubwa kiswahili na wengi hata wasiojua kimombo wanakubaliana na hoja zake? Mwambieni Mashaka na Shao waichambue tz kwa kiswahili ili watu wengi wasiojua kizungu waone wanachoongea, nina uhakika utaondoa hii habari yako humu maana jamaa hoja zao huwezi zifananisha hata nusu na hoja za Mwanakijiji!
 
ila mda maana sidhani kama katiba inatengenezwa kwa miaka miwili mkuu

- Katiba inayofaa kwa taifa letu inaweza kutengenezwa hata kwa siku moja tu, kwa sababu matatizo yake hayahitaji kuwa professor kuyajua, la kwanza ni kupunguza madaraka ya rais tu na huenda hata huhitaji kwenda kwingine zaidi ya hapo tu kulisaidia hili taifa, la kurekebisha madaraka ya ajabu aliyonayo rais wetu hayahitaji karne kuyarekebisha, ni suala la siku moja unarudisha madaraka kwa wananchi kupitia bunge lao la jamhuri.

- Ujeuri wote wa mafisadi huko CCM, unaletwa na madaraka ya ajabu aliyonayo rais wa jamhuri, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.

Ahsante.

William.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom