Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Status
Not open for further replies.
Sidhani kama unaweza kulinganisha hizi blog mbili. Kwanza moja ni forum which requires membership, the other is a blog which any person (including impersonators) can post articles and comments. JF has some reputable members eg: Dr Slaa, nk, while it's arguable that Michuzi blog has no members but viewers/commentators.

Pili hawa watu wawili wana-motive tofauti. Mmoja ni mwanaharakati/mwandishi, aliye na forum yake hadi podcasts. Mwingine ana profession yake na kitu anachofanya ni kuandika articles once in a while. Sasa utaweza kuwalinganisha hawa kweli? I think this is more of umbea than a competition.
Labda upime impact yao. But this wld depend what that means. JF ina news nyingi pamoja na ripoti za siri. But has it had impact? Michuzi blog inasambaza 'habari' kwa wingi pia. Pia target za news zao ni toafuti. So i would imagine their impact is also different.

- Point taken.

FMEs!
 
To be honest 'michuzi jamii' binafsi ndo naisikia leo,naomba address yake wadau. Kama ni blog ya 'issamichuzi' hiyo niliacha kuivinjari siku nyingi maana niliona inatufanya sisi watoto ambao hatuwezi kuwa responsible na posts zetu,eti u post kisha Michuzi ndo aamue kutundika ama kuacha post,yaani kwa lugha nyingine yeye KAJIPA MAAMUZI YA KUAMUA NINI KINAWAFAA WADAU WA BLOG WASOME NA KIPI HAKIWAFAI, BALLS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwanakijiji ni mchangiaji mkubwa hapa JF lakini JF ni globu ya jamii na ina wenyewe. Michuzi ile ni globu yake na kuna wachangiaji wakubwa kule kama Johna Mashaka.

Tulinganishe JF Vs Michuzi Blog au Mwanakijiji Vs John Mashaka?
 
Ama kwa waathirika wa Mabomu Mabagala!
kweeeri...huyu kamanda fmes kaishiwa toka lile deal la kinaijeria libume bado haja settle kabisa....hana data za CCM tena haziuziki tena....

this is a joke wakuu.....hivi unaweza kulinganisha blog na forum? it aint no serious kwa hili.......tumsaidie huyu baharia
An Internet forum, or message board, is an online discussion site It is the modern equivalent of a traditional bulletin board, and a technological evolution of the dialup bulletin board system From a technological standpoint, forums or boards are web applications managing user-generated content
na blog
A blog (a contraction of the term "weblog") is a type of website, usually maintained by an individual with regular entries of commentary, descriptions of events, or other material such as graphics or video. Entries are commonly displayed in reverse-chronological order. "Blog" can also be used as a verb, meaning to maintain or add content to a blog.
sasa niambieni huyu great thinker sijui alifikiria nini kulinganisha blogs na forum.....

kumlinganisha yule investment banker wa wall street ya North carolina na guru kama mwanakijiji ni matusi makubwa.....kila mtu anajua na kuona
 
Last edited:
Achana na ubishi wa kizamani. Huo ubishi wa Simba na Yanga ushapitwa na wakati.

That is the fact! Watanzania bwana huwa tuna porojo tu za "nani zaidi... kama vipindi vile vya muziki" kudivert constructive thinking/issues and planning of strategies za kuiondoa nchi kwenye umasikini. That thread doesnt add any value to our collective initiative to develop our country, na ndio maana Kenya wakati mwingine wanatudharau!!!! We hav to talk abt important issues badala ya kupoteza muda kwenye topics kama hizi za nani zaidi!
 
Kwa maneno machache, mimi namwelezea John kama MTU wakati Mwanakijiji namwelezea kama TAASISI.
 
Kikubwa kinachojadiliwa hapa JF ni kuhusiana na mustakabali wa nchi yetu, maisha ya kawaida ya watanzania wa ndani na wa ughaibuni ni forum ambayo inawakutanisha watu aghalabu sio ana kwa ana lakini unaweza kuhisi hisia zao na zikikugusa kwani ni sehemu ya jamii ya kitanzania. Pia JF ni chombo kinachohabarisha mambo yote yaliyojiri na yatakayojiri. Hivyo huwezi kulinganisha JF na Michuzi blog kwa sababu Michuzi kama Michuzi hajaanzisha Blogu yake kwa ajili ya kuweka ligi ama JF. Labda tunaweza kusema kwamba mojawapo kati ya hizo inapendwa na mfumo tawala wakati mwingine anachukiwa kwa sababu anasema ukweli na inafikia wakati hata waanzilishi wake wanakamatwa na kuitwa magaidi. Kwa KUKONKLUDI au kuhitimisha JF iko juu. Mashaka's Craps or Shayo or Kyaruzi's craps have nothing in common here in JF. Mzee Mwanakijiji anabaki kama mtu ambaye anajitolea katika kila kitu na kwa kulinda usalama wake atabakia anonymous mpaka pale mfumo huu wa kishenzi utakapobadilika .That's for fure.
 
hivi kweli JF ina-mpinzani kwa mambo yake utakayo yapata humu. kwa upande wangu nimefunzwa mengi humuhumu. the slogan says it all where we dare, where else can you?

even your post dare's the questions you have put forward, again in JF and not in michuzi's. shouldn't that tell you somen.

for the two individuals i do not know about the other but from reading MKJJ, he dares without fear and commited with his course passionately without fear, together with a strong firm view points that is no to ufisadi. he does so without seeking accolades you have to give to the guy just because of his commitment.

MKJJ is a legend the other i dont know.
 
Nilikuwa mbali sana katu huwezi mfananisha Mk na John mashaka, sio hao watu pia hata media zao, huwezi fananisha JF na Blog ya Issa. Hapa kuna great thinkers, kule mh issa akiielewa post yako ndo anaitoa hewani, yeye kwa akili yake km haielewi anaitia kapuni, hii ni bab kubwa, MK ni bab kubwa ni kama chuo, sasa ajitokeze agombee nafasi basi?tumpe lindo au vipi wadau?
 
John Mashaka ni nani kwani?Ingawaje simjui lkn without any reasonable doubt hawezi mfikia hata nusu mwanazuoni Mwanakijiji kwa uchambuzi wa mambo kuhusu mustakabali wa tz!

I bet you,nusu ya wana JF hapa nikiwemo mimi na wengine great thinkers ama hawamjui jamaa huyu John Mashaka au kama wanamjua hana even negligible impact kimchango kuhusu maisha ya kila siku ya mtz maskini kama anavyochangia Mzee Mwanakijiji!

Kuhusu Michuzi na JF walahi uliyetoa hii thread haupo serious kabisa na maisha ya kila siku ya watz!Kama vuguvugu la mageuzi la watz hivi kwa hoja linaanzia JF hata kuna kipindi ikasabisha serikali iyumbe;iweje ufananishe na blog ya michuzi inayoweka picha kila siku za akina Flavian Matata,Klyn,Jide na hata bday za watoto na taswira anazoziita yeye"mikonoz"?Mtz wa kawaida anafaidika nini na blog ya michuzi?

JF ni great thinkers na inaheshimiwa na kila mtu!
 
John Mashaka ni nani kwani?Ingawaje simjui lkn without any reasonable doubt hawezi mfikia hata nusu mwanazuoni Mwanakijiji kwa uchambuzi wa mambo kuhusu mustakabali wa tz!

I bet you,nusu ya wana JF hapa nikiwemo mimi na wengine great thinkers ama hawamjui jamaa huyu John Mashaka au kama wanamjua hana even negligible impact kimchango kuhusu maisha ya kila siku ya mtz maskini kama anavyochangia Mzee Mwanakijiji!

Kuhusu Michuzi na JF walahi uliyetoa hii thread haupo serious kabisa na maisha ya kila siku ya watz!Kama vuguvugu la mageuzi la watz hivi kwa hoja linaanzia JF hata kuna kipindi ikasabisha serikali iyumbe;iweje ufananishe na blog ya michuzi inayoweka picha kila siku za akina Flavian Matata,Klyn,Jide na hata bday za watoto na taswira anazoziita yeye"mikonoz"?Mtz wa kawaida anafaidika nini na blog ya michuzi?

JF ni great thinkers na inaheshimiwa na kila mtu!

Malafyale!
Uko sahihi kabisa. Huyu jamaa anataka kulinanisha guta na scania inayobeba tani 45 . Ni bora ATAFUTWE mtu ampepee lakini kwa sababu jamii tunakubali kila aina ya watu kwa hiyo tumwache alivyo. Mods mnaweza kuanza kuchambua hizi threads. Nyingine just no comment!
 
Naona kama 'ananonimity' ya mwanakijiji inamfanya awe value free. In other words mwanakijiji hafungamani na makundi. Ukiangalia hoja zake na tafiti zake ni kama zinaifahamu Tanzania zaidi kuliko kumfahamu mtanzania mmoja mmoja. Kwa bahati mbaya blogu ya michuzi naona kama imekaa kiswahili swahili zaidi hata hoja zake na habari zake kuna wakati nashindwa kuziweka kwenye mizani.
 
Waache hao vijana watoe mawazo yao pale wao wanapoona panafaa kila mahala ni pazuri tu kwa manufaa ya nchi yetu lazima tukubaliana kutofautiana katika mawazo sio vizuri kabisa kulinganisha watu kwa mtindo huo kila blogger anamchango wake ndio maana moderators hawajaweka vigezo vya nani zaidi ,jamani tuache utoto
 
UMBEA MTUPU, watanzania tunapenda kujikweza na kudharauliana sana, kila mtu ni zaidi kwa ANGLE yake, punde nitaanzisha thread ya nani zaidi kati ya FMES na jamaa fulani hivi namtunza jina kwanza, VERY SOON
 
UMBEA MTUPU, watanzania tunapenda kujikweza na kudharauliana sana, kila mtu ni zaidi kwa ANGLE yake, punde nitaanzisha thread ya nani zaidi kati ya FMES na jamaa fulani hivi namtunza jina kwanza, VERY SOON

You are contradicting yourself.

Mara umbea mtupu, kila mtu zaidi kwa angle yake.

Mara nitaanzisha thread ya nani zaidi kati ya FMES na fulani (umbea mtupu!)

Amua which is it na acha ku flip flop.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom