William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #101
John Mashaka na Shao wapewe nchi hii kwa sababu wanaandika na kuongea sana kimombo kwenye blog ya michuzi au kwa sababu ipi ingine mpya?
Watu wengi nadhani wanatishika na kimombo cha John Mashaka,lkn ukigeuza hoja zake hizo za kizungu na ukaleta kwa kiswahili utagundua kabisa kuwa uchambuzi wake wa uchumi wa tz ni sawa na wa mtoto wa darasa la saba au sana sana form 2!
- Mkuu with all due respect, angalau hao wanajiweka wazi mbele ya taifa na mawazo yao, kuliko wengine ambao kazi ni kuponda tu huku wakiwa hawana hoja hata za kimombo.
- No matter what the case, misimamo yao iko wazi kwamba wana nia njema na taifa letu, na wanazo hoja nzito za kukosoa serikali dhaifu tuliyonayo sasa, na huwezi sema eti Tanzania we are better off na viongozi kama Kusila na Guninita, just because wanasema hoja zao kwa kiswahili kuliko Mashaka na Shayo kwa sababu hoja zao ni za kiingereza, wakuu sometimes tulionee huruma sana hili taifa.
- Ninaamini kwamba Mwanakijiji, Mashaka na Shayo wakipewa nafasi za uongozi wa juu wa taifa hili, watatusaidia better than kina Kusila, Guninita, na kina Kingunge.
Ahsante.
William.