Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Status
Not open for further replies.
ina maana unataka kuunda chama ambacho watu hawatoruhusiwa kuwa na dini au makabila fulani?


Johnson Mashaka
Mwanakijiji
Dr. Shayo Hildebrand
January Makamba

Waseme watachoka, Tanzania ni yetnu, Uongozi ni wenu baada ya 2010. Hata 2010 mkitaka, mjikite tu, kura tunawapa. Nyie ni vijana makini sana ambao Taifa letu liwaenzi
 
ina maana unataka kuunda chama ambacho watu hawatoruhusiwa kuwa na dini au makabila fulani?

hapana najua umenielewa sana nachomaanisha namaanisha kuna vyama vina takiwa ku adreess issues zao hususan kwenye jamii ya TZ mfano CHADEMA sio siri na najua mtapinga vikali ila nasema bila shaka wanauCHAGA ndani na ni chama cha ukoo flani

cuf ni islam

waa dress hizo issue vizuri ili viwe vinaleta sura nzuri na viwakilishe watanzania wote
na hiyo ndo downfall ya oposition TZ
 
Mkuuniliweka majina hayo kwa mtego, na wewe hauja unasa ila tu umenisaidia kuforce my point home na point yangu ilikua hiviiiiiiii

Je John Mashaka, Mwanakijiji na Dr Shayo wamefanya nini kwa taifa mpaka wawe na vigezo ambavyo watu wanawapitisha kuwa wanafaa kuwa viongozi? au ni uwezo wao wa kuandika? kama ni uwezo wa kuandika wapo watu wengi tu? nilichokua nataka watu waelewe ni kwamba uongozi ni zaidi ya kujua kuchambua mambo..mfano prof lipumba hamna mtu anaemfikia katika wanaogombeaga u prez da kwa kuchambua mambo, ila i am not sure kama ni kiongozi mzuri...me naamini kiongozi mzuri ni yiule ambae anaweza kuwa na mipango mizuri kwenye afya, elim. azingira, technology, utawala bora na chamuhim zaidi kuwa na team thabiti itakayo waezesha kuingia madarakani na si tu kuingia madarakani bali pia kuongoza watu milioni 40...mfano tena vyama vyetu vya upinzani vinakosa team kamili yaani watu waliokamilika zaidi kukijenga na kujenga uwaminifu kwenye chama ambao wanafaa kuongoza nchi...tubahitaji mlolongo wa vitu vingi na si nakuwa na uwezo tu wakuandika na kuchambua mabo...ni sawa na usemi kuwa mchezaji soka bora atakua kocha bora, ambapo saa nyingine siyo

ahsanteeeee

Ha ha haa, Mkuu kuhusu hao wengine sijui ila Kuhusu Mzee Mwanakijiji Muulize Said Nguba ( aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Lowasa) LoL!
 
Nchi sio uwezo wa kuandika viji articles tuuu, Kuna mambo mengi katka uongozi, so sidhani kama wanasifa hao watu wako wote..mpaka tungejua angalau historia yao ya uongozi na maendeleo yao na si kujiandikia vijiarticle wapewe nchi


unaweza kuwa sahihi kwa mtazamo wako. but the qn is viji articles kama ulivyoviita vinaandikwa kwa matope au akili? na unajua ni wangapi wanapa degree, masters and phd kwa kuandika? najua utasema kuwa na digree or even phd sio kuwa kiongozi,but it counts sana tuu
 
Wadau

Hii nchi inahitaji mapinduzi ya Kijeshi................atokee mtu aipindua kwa muda wa 2 -3yrs ili watu tuwe na adabu. Baada ya hapo hairudishe kwenye utawala wa raia

Bila hivyo kila kitu ni Hovyo Hovyo hovyo
 
Wadau

Hii nchi inahitaji mapinduzi ya Kijeshi................atokee mtu aipindua kwa muda wa 2 -3yrs ili watu tuwe na adabu. Baada ya hapo hairudishe kwenye utawala wa raia

Bila hivyo kila kitu ni Hovyo Hovyo hovyo


Mkuu pamoja na matatizo yaliyopo ogopa utawala wa kijeshi!
Inaelekea kujapita JKY wewe
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.
Unadhani nchi inaendeshwa kupitia blogu!
 
Swala zima hapa ni uongozi mzima wa Tanzania kuanzia chini mpaka juu kuna matatizo kwahiyo hata john mashaka akipewe nchi au Shayo hawataweza lolote kwani Tanzania inatakiwa kama Gari ni kushusha engine yote na kuanza kuweka spare mpya "Overhaul"

Pamoja na katiba yetu ambayo bado inalinda viongozi wapuuzi na wanaofoji vyeti pamoja na mafisadi. Tanzania bila umasikini inawezekana kama mafisadi tutawamaliza
 
Swala zima hapa ni uongozi mzima wa Tanzania kuanzia chini mpaka juu kuna matatizo kwahiyo hata john mashaka akipewe nchi au Shayo hawataweza lolote kwani Tanzania inatakiwa kama Gari ni kushusha engine yote na kuanza kuweka spare mpya "Overhaul"

Pamoja na katiba yetu ambayo bado inalinda viongozi wapuuzi na wanaofoji vyeti pamoja na mafisadi. Tanzania bila umasikini inawezekana kama mafisadi tutawamaliza


Pole sana mkuu, huo ndo ucelebrity. Kuzushiwa, wanakuzushia hadi kifo?
 
Duh .... hii sasa kali,haya mawazo ya kutaka tuwape watu vyeo kama ukaka mkuu shule ya msingi jamani si sawa kabisaaa!!
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.

kwangu mimi katika watu wa kuogopwa, nadhani mashaka ni moja ya vijana ambao karibuni wataogopeka na kuheshimika siyo tu tanzania bali duniani kote
 
Mkuu unajua unachokisema, katiba si kitu cha mchezo na si assignment za chuo kikuu na wala si maandishi ya articles kwenye JF hauwezi andika katiba siku moja....waambie hao akina Mwanakijiji waende kutangaza sera zao kwa wananchi na sio kwenye Blogs mkuu..maana naona mnataka kukimbia ukweli kwa kwa sasa hawana sifa wala uwezo wa kuongoza nchi mpaka tujue sera. sio unashangilia kila kitu, jua kuchuja...

Swadakta,
nimefuatilia kwa karibu mjadala wenu sijaona mtu ambaye anajua tatizo la nchi yetu na mtu wa namna gani anafaa kuwa kiongozi wake ili angalau airudishe nchi kwenye mkondo sahihi,sio kwamba nchi yetu haijafanyiwa uchambuzi kama huu wa akina mwanakijiji na wote waliotajwa,! sio kwamba tatizo hatulijui ila tunataka kiongozi ambaye anaweza kuongoza ..kupanga mfumo ambao unaweza kutafsiri hizo chambuzi kwenda kwenye vitendo na mfumo huo uwe na nguvu kamili ya kuhimili hao makamanda wa kasoro zilizopo!!!tatizo la wengine humu ndani wako too academic na wenyewe hawajui matatizo yalioko huko vijijini ni kwamba hakuna mfumo wowote unao-operate huko, watu wana matatizo ambayo yanahitaji wataalaam wa mifugo,kilimo, misitu n.k lakini wataalaam hao wanaishia kusaini vitabu wilayani na kuchukua fedha na kurudi walikotoka ...HAKUNA SYSTEM....hatuhitaji falsafa za wall street wala nadharia za london.Bali tunahitaji kujenga mkondo wa uongozi ambao utahamasiha uzalishaji na kupunguza umasikini ambayo ndio strategy ya maendeleo ya jumla, Tunahitaji kuhamasisha nguvu za wananchi wetu wote tuwarudishe kwenye uzalishaji ...tuongeze idadi ya wanaoweza kuzalisha watoke kwenye vilabu vya pombe waamshwe wapewe maarifa ya uzalishaji wajiendeshe wenyewe....leo naishia hapo.
 
Dr Shayo huyu ninaye mjua mimi hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.

By the way Prof. Dr. Shayo wa Demokrasia Makini nasikia kuwa sasa ni marehemu.

Mwanakijiji ungegombea uenyekiti wa sirikali ya kitongoji
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.


Basi mkazane mpambane na Richmond na EPA iliyowashinda wakuu wote. Mkifanikiwa basi tutawapa nchi au vipi wadau?
 
- Mkuu with all due respect, angalau hao wanajiweka wazi mbele ya taifa na mawazo yao, kuliko wengine ambao kazi ni kuponda tu huku wakiwa hawana hoja hata za kimombo.

- No matter what the case, misimamo yao iko wazi kwamba wana nia njema na taifa letu, na wanazo hoja nzito za kukosoa serikali dhaifu tuliyonayo sasa, na huwezi sema eti Tanzania we are better off na viongozi kama Kusila na Guninita, just because wanasema hoja zao kwa kiswahili kuliko Mashaka na Shayo kwa sababu hoja zao ni za kiingereza, wakuu sometimes tulionee huruma sana hili taifa.

- Ninaamini kwamba Mwanakijiji, Mashaka na Shayo wakipewa nafasi za uongozi wa juu wa taifa hili, watatusaidia better than kina Kusila, Guninita, na kina Kingunge.

Ahsante.

William.

Bwana malecela hapa nimekubaliana na wewe
 
CV's za hawa watu ni muhimu sana, pia tujue hawa jamaa ni watanzania kweli kabla hatujawapa nchi? tusije kuwapa nchi wanyamulenge!!

Pili: Mwanakijiji anasema atafunga mafisadi wote kuanzia mkapa: Hoja: Sisi hatutaki siasa za kulipiza visasi, ukipewa nchi anzia pale ulipoikuta na si kuanza kukomoana, yaliyokwisha pita si ndwele...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom