Nani yupo sahihi: Magufuli vs Lissu

MotoKazi

JF-Expert Member
Aug 10, 2015
747
671
Uchambuzi Wangu wa Tarehe 12 June, 2017 Ndani ya JF


Hatua zilizochukuliwa
1. Hatua ya Magufuli kusitisha mchanga kwenda nje kwa ajili ya uchunguzi ni sahihi.
2. Report ya kwanza na Mapendekezo yake ni sahihi.
3. Report ya pili na Mapendekezo yake ni sahihi pia.

Mkakati ya Team Magufuli
Hatua zote tatu ni sahihi kwasababu alichofanya Magufuli sio kuvunja mkataba au kuzuia moja kwa moja usafilishaji wa mchanga bali ni strategy za kuwafanya ACACIA warudi kwenye meza ya majadiliano wakiwa hawana confidence kwa kudai share kubwa ukilinganisha kama wangeitwa bila Magufuli kutengeneza Cheos, kwahiyo uundaji wa tume zote mbili pamoja na ya Tatu ambayo alisema yeye mwenyewe haijui ni mpango mkakati wa kutengeneza room nzuri ya negotiation ili apate faida kama nilivyoanisha hapo chini.
Kumbukeni kamati ya bunge ilishawahi kupitia sera na mikataba ya madini wakaishia kuambulia mabadiliko madogo sana.

Faida ya kutengeneza mtafaruku

1.Magufuli atakuwa na evidence ya uwizi wanaofanya wakati wa majadiliano mapya

2. Magufuli atakuwa anajua na ataenda na share anayoitaka kuidai kwenye meza ya majadiliano

3. Hata kama ACACIA wanabebwa na baadhi ya vipengele kwenye mkataba, watakuwa hawana confidence ya kudai share kubwa kutokana na Guilty Consciousness baada ya kuvuliwa taulo.

4.Magufuli atakuwa na room ya kudai share nyingi hadi kwenye pure gold mbali na makinikia

5.Magufuli atapata room kubwa ya kureview mikataba ya madini na gas kama ambavyo ameshaagiza kwasababu wawekezaji watamuona yuko serious tofauti na waliopita.

6.Kulingana na mazingira na ukweli uliojulikana, ni ngumu kwa ACACIA kwenda mahakamani, watataka hili swala liishie mezani. Kwahiyo habari ya ACACIA kwenda mahakamani sahauni.


Toafuti ya Magufuli na Lissu kimkakati

1.Magufuli aliamua kutengeneza mgogoro ili apate faida nilizo hainisha hapo juu na zitampa faida-Best Approach.

2.Lissu alitaka tuilete mikataba bungeni kwa ajili ya marekebisho, akaiponda aproach ya Magufuli-Weak Approach


Kwanini Magufuli yuko sahihi

Mikataba itakavyorudishwa bungeni kujadiliwa JPM atakuwa na evidence, na watajadili kulingana na evidence na Loop holes zilizoainishwa na kamati zote.


Kwanini Lissu hayuko sahihi sana

Approach yake ingesababisha bunge kiadili mikataba Blindly bila evidence yoyote hivyo serikali kuambilia kiduchu kama kamati ya akina Zitto/Bomani
 
Uchambuzi Wangu wa Tarehe 12 June, 2017 Ndani ya JF


Hatua zilizochukuliwa
1. Hatua ya JPM kusitisha mchanga kwenda nje kwa ajili ya uchunguzi ni sahihi.
2. Report ya kwanza na Mapendekezo yake ni sahihi.
3. Report ya pili na Mapendekezo yake ni sahihi pia.

Mkakati ya Team JPM
Hatua zote tatu ni sahihi kwasababu alichofanya JPM sio kuvunja mkataba au kuzuia moja kwa moja usafilishaji wa mchanga bali ni strategy za kuwafanya ACACIA warudi kwenye meza ya majadiliano wakiwa hawana confidence kwa kudai share kubwa ukilinganisha kama wangeitwa bila JPM kutengeneza Cheos, kwahiyo uundaji wa tume zote mbili pamoja na ya Tatu ambayo alisema yeye mwenyewe haijui ni mpango mkakati wa kutengeneza room nzuri ya negotiation ili apate faida kama nilivyoanisha hapo chini.
Kumbukeni kamati ya bunge ilishawahi kupitia sera na mikataba ya madini wakaishia kuambulia mabadiliko madogo sana.

Faida ya kutengeneza mtafaruku

1.JPM atakuwa na evidence ya uwizi wanaofanya wakati wa majadiliano mapya

2. JPM atakuwa anajua na ataenda na share anayoitaka kuidai kwenye meza ya majadiliano

3. Hata kama ACACIA wanabebwa na baadhi ya vipengele kwenye mkataba, watakuwa hawana confidence ya kudai share kubwa kutokana na Guilty Consciousness baada ya kuvuliwa taulo.

4.JPM atakuwa na room ya kudai share nyingi hadi kwenye pure gold mbali na makinikia

5.JPM atapata room kubwa ya kureview mikataba ya madini na gas kama ambavyo ameshaagiza kwasababu wawekezaji watamuona yuko serious tofauti na waliopita.

6.Kulingana na mazingira na ukweli uliojulikana, ni ngumu kwa ACACIA kwenda mahakamani, watataka hili swala liishie mezani. Kwahiyo habari ya ACACIA kwenda mahakamani sahauni.


Toafuti ya JPM na Lissu kimkakati

1.JPM aliamua kutengeneza mgogoro ili apate faida nilizo hainisha hapo juu na zitampa faida-Best Approach.

2.Lissu alitaka tuilete mikataba bungeni kwa ajili ya marekebisho, akaiponda aproach ya JPM-Weak Approach


Kwanini JPM yuko sahihi

Mikataba itakavyorudishwa bungeni kujadiliwa JPM atakuwa na evidence, na watajadili kulingana na evidence na Loop holes zilizoainishwa na kamati zote.


Kwanini Lissu hayuko sahihi sana

Approach yake ingesababisha bunge kiadili mikataba Blindly bila evidence yoyote hivyo serikali kuambilia kiduchu kama kamati ya akina Zitto/Bomani
Lisu ni nani hadi umlinganishe na Rais ?
 
HATA MIMI NILIHISI HII ILIKUWA STRATEGY WAKUPAMBANA NA BARRICK KIUFUNDI ZAIDI NA KWAKWELI KAFANIKIWA.TUSUBILI AKINA ZITO NA CHADEMA UCHWARA WASIOPENDA MAFANIKIO YA MAGUFURI

Uchambuzi Wangu wa Tarehe 12 June, 2017 Ndani ya JF


Hatua zilizochukuliwa
1. Hatua ya JPM kusitisha mchanga kwenda nje kwa ajili ya uchunguzi ni sahihi.
2. Report ya kwanza na Mapendekezo yake ni sahihi.
3. Report ya pili na Mapendekezo yake ni sahihi pia.

Mkakati ya Team JPM
Hatua zote tatu ni sahihi kwasababu alichofanya JPM sio kuvunja mkataba au kuzuia moja kwa moja usafilishaji wa mchanga bali ni strategy za kuwafanya ACACIA warudi kwenye meza ya majadiliano wakiwa hawana confidence kwa kudai share kubwa ukilinganisha kama wangeitwa bila JPM kutengeneza Cheos, kwahiyo uundaji wa tume zote mbili pamoja na ya Tatu ambayo alisema yeye mwenyewe haijui ni mpango mkakati wa kutengeneza room nzuri ya negotiation ili apate faida kama nilivyoanisha hapo chini.
Kumbukeni kamati ya bunge ilishawahi kupitia sera na mikataba ya madini wakaishia kuambulia mabadiliko madogo sana.

Faida ya kutengeneza mtafaruku

1.JPM atakuwa na evidence ya uwizi wanaofanya wakati wa majadiliano mapya

2. JPM atakuwa anajua na ataenda na share anayoitaka kuidai kwenye meza ya majadiliano

3. Hata kama ACACIA wanabebwa na baadhi ya vipengele kwenye mkataba, watakuwa hawana confidence ya kudai share kubwa kutokana na Guilty Consciousness baada ya kuvuliwa taulo.

4.JPM atakuwa na room ya kudai share nyingi hadi kwenye pure gold mbali na makinikia

5.JPM atapata room kubwa ya kureview mikataba ya madini na gas kama ambavyo ameshaagiza kwasababu wawekezaji watamuona yuko serious tofauti na waliopita.

6.Kulingana na mazingira na ukweli uliojulikana, ni ngumu kwa ACACIA kwenda mahakamani, watataka hili swala liishie mezani. Kwahiyo habari ya ACACIA kwenda mahakamani sahauni.


Toafuti ya JPM na Lissu kimkakati

1.JPM aliamua kutengeneza mgogoro ili apate faida nilizo hainisha hapo juu na zitampa faida-Best Approach.

2.Lissu alitaka tuilete mikataba bungeni kwa ajili ya marekebisho, akaiponda aproach ya JPM-Weak Approach


Kwanini JPM yuko sahihi

Mikataba itakavyorudishwa bungeni kujadiliwa JPM atakuwa na evidence, na watajadili kulingana na evidence na Loop holes zilizoainishwa na kamati zote.


Kwanini Lissu hayuko sahihi sana

Approach yake ingesababisha bunge kiadili mikataba Blindly bila evidence yoyote hivyo serikali kuambilia kiduchu kama kamati ya akina Zitto/Bomani
 
Uchambuzi Wangu wa Tarehe 12 June, 2017 Ndani ya JF


Hatua zilizochukuliwa
1. Hatua ya JPM kusitisha mchanga kwenda nje kwa ajili ya uchunguzi ni sahihi.
2. Report ya kwanza na Mapendekezo yake ni sahihi.
3. Report ya pili na Mapendekezo yake ni sahihi pia.

Mkakati ya Team JPM
Hatua zote tatu ni sahihi kwasababu alichofanya JPM sio kuvunja mkataba au kuzuia moja kwa moja usafilishaji wa mchanga bali ni strategy za kuwafanya ACACIA warudi kwenye meza ya majadiliano wakiwa hawana confidence kwa kudai share kubwa ukilinganisha kama wangeitwa bila JPM kutengeneza Cheos, kwahiyo uundaji wa tume zote mbili pamoja na ya Tatu ambayo alisema yeye mwenyewe haijui ni mpango mkakati wa kutengeneza room nzuri ya negotiation ili apate faida kama nilivyoanisha hapo chini.
Kumbukeni kamati ya bunge ilishawahi kupitia sera na mikataba ya madini wakaishia kuambulia mabadiliko madogo sana.

Faida ya kutengeneza mtafaruku

1.JPM atakuwa na evidence ya uwizi wanaofanya wakati wa majadiliano mapya

2. JPM atakuwa anajua na ataenda na share anayoitaka kuidai kwenye meza ya majadiliano

3. Hata kama ACACIA wanabebwa na baadhi ya vipengele kwenye mkataba, watakuwa hawana confidence ya kudai share kubwa kutokana na Guilty Consciousness baada ya kuvuliwa taulo.

4.JPM atakuwa na room ya kudai share nyingi hadi kwenye pure gold mbali na makinikia

5.JPM atapata room kubwa ya kureview mikataba ya madini na gas kama ambavyo ameshaagiza kwasababu wawekezaji watamuona yuko serious tofauti na waliopita.

6.Kulingana na mazingira na ukweli uliojulikana, ni ngumu kwa ACACIA kwenda mahakamani, watataka hili swala liishie mezani. Kwahiyo habari ya ACACIA kwenda mahakamani sahauni.


Toafuti ya JPM na Lissu kimkakati

1.JPM aliamua kutengeneza mgogoro ili apate faida nilizo hainisha hapo juu na zitampa faida-Best Approach.

2.Lissu alitaka tuilete mikataba bungeni kwa ajili ya marekebisho, akaiponda aproach ya JPM-Weak Approach


Kwanini JPM yuko sahihi

Mikataba itakavyorudishwa bungeni kujadiliwa JPM atakuwa na evidence, na watajadili kulingana na evidence na Loop holes zilizoainishwa na kamati zote.


Kwanini Lissu hayuko sahihi sana

Approach yake ingesababisha bunge kiadili mikataba Blindly bila evidence yoyote hivyo serikali kuambilia kiduchu kama kamati ya akina Zitto/Bomani
Safi sana Mkuu MotoKazi. Namwita jamaa mmoja alikimbilia Marekani anaitwa Al-Watani aje aone Mh Rais anavyokwenda kwa uhakika.Al-Watan nini maoni yako?
 
Uchambuzi Wangu wa Tarehe 12 June, 2017 Ndani ya JF


Hatua zilizochukuliwa
1. Hatua ya JPM kusitisha mchanga kwenda nje kwa ajili ya uchunguzi ni sahihi.
2. Report ya kwanza na Mapendekezo yake ni sahihi.
3. Report ya pili na Mapendekezo yake ni sahihi pia.

Mkakati ya Team JPM
Hatua zote tatu ni sahihi kwasababu alichofanya JPM sio kuvunja mkataba au kuzuia moja kwa moja usafilishaji wa mchanga bali ni strategy za kuwafanya ACACIA warudi kwenye meza ya majadiliano wakiwa hawana confidence kwa kudai share kubwa ukilinganisha kama wangeitwa bila JPM kutengeneza Cheos, kwahiyo uundaji wa tume zote mbili pamoja na ya Tatu ambayo alisema yeye mwenyewe haijui ni mpango mkakati wa kutengeneza room nzuri ya negotiation ili apate faida kama nilivyoanisha hapo chini.
Kumbukeni kamati ya bunge ilishawahi kupitia sera na mikataba ya madini wakaishia kuambulia mabadiliko madogo sana.

Faida ya kutengeneza mtafaruku

1.JPM atakuwa na evidence ya uwizi wanaofanya wakati wa majadiliano mapya

2. JPM atakuwa anajua na ataenda na share anayoitaka kuidai kwenye meza ya majadiliano

3. Hata kama ACACIA wanabebwa na baadhi ya vipengele kwenye mkataba, watakuwa hawana confidence ya kudai share kubwa kutokana na Guilty Consciousness baada ya kuvuliwa taulo.

4.JPM atakuwa na room ya kudai share nyingi hadi kwenye pure gold mbali na makinikia

5.JPM atapata room kubwa ya kureview mikataba ya madini na gas kama ambavyo ameshaagiza kwasababu wawekezaji watamuona yuko serious tofauti na waliopita.

6.Kulingana na mazingira na ukweli uliojulikana, ni ngumu kwa ACACIA kwenda mahakamani, watataka hili swala liishie mezani. Kwahiyo habari ya ACACIA kwenda mahakamani sahauni.


Toafuti ya JPM na Lissu kimkakati

1.JPM aliamua kutengeneza mgogoro ili apate faida nilizo hainisha hapo juu na zitampa faida-Best Approach.

2.Lissu alitaka tuilete mikataba bungeni kwa ajili ya marekebisho, akaiponda aproach ya JPM-Weak Approach


Kwanini JPM yuko sahihi

Mikataba itakavyorudishwa bungeni kujadiliwa JPM atakuwa na evidence, na watajadili kulingana na evidence na Loop holes zilizoainishwa na kamati zote.


Kwanini Lissu hayuko sahihi sana

Approach yake ingesababisha bunge kiadili mikataba Blindly bila evidence yoyote hivyo serikali kuambilia kiduchu kama kamati ya akina Zitto/Bomani

Ndiyo sababu ya kummiminia risasi kwa kuwa alikuwa na weak approach?
 
Hakuna mtu anaweza kuwa na akili kuliko Rais (JPM), kwa sababu Rais sio mtu bali ni Taasisi yenye washauri wa kila aina. Kama wangekuwa wanabisha wao kama wao ingekuwa sawa, lakini kwa kuwa ni maslahi ya taifa, fikiria mara mbili kuhusu hiyo dhana yako.

Nasisitiza ana akili sana, na kama ulivyosema Urais ni taasisi, basi anaizid akili hiyo taasisi mara nyingi.....
 
Neither Barrick ndio wame balance ata wao kwa miaka walijua mkataba wa kinyonyaji. Serikari ilikuwa na haki ya kudai mabadiliko yenye uhalisia na tungelazimisha tungeishia mahakamani. Ata ukisikiliza hotuba ya raisi ni wazungu wamekubali inatosha 50/50 its a fair deal and taxes. Mwisho wa siku muungwana huwa mwepesi wa fadhila hongera serikari kwa hili.
 
Rais ni Tanzania One, kwa vyo vyote vile hawezi linganishwa na mtu yeyote. Kumlinganisha Rais na mtu ni kosa makubwa sana.
Tungeamua ku wa wakweli tungeshindanisha hoja kwa hoja. lkn naona ushabiki umewwkwa mbele hoja hazina maana tena. kimsingi ukitaka kupima IQ ya MTU unaweza kutumia kauli zake,hoja zake na hata maamuzi yake. kwa hiyo sio kosa kumlinganisha MTU huyu na Yule
 
Tungeamua ku wa wakweli tungeshindanisha hoja kwa hoja. lkn naona ushabiki umewwkwa mbele hoja hazina maana tena. kimsingi ukitaka kupima IQ ya MTU unaweza kutumia kauli zake,hoja zake na hata maamuzi yake. kwa hiyo sio kosa kumlinganisha MTU huyu na Yule
Hoja yangu iko hivi, JPM kama Rais sio mtu bali ni Taasisi, kwa hiyo huwezi kulinganisha mtu (Lisu) na Taasisi ya Urais.
 
Hoja yangu iko hivi, JPM kama Rais sio mtu bali ni Taasisi, kwa hiyo huwezi kulinganisha mtu (Lisu) na Taasisi ya Urais.

Taasisi si watu ama? yaani kuna kundi la watu wanaoitwa taasisi ya Uraisi/Raisi ndiyo inashindanaga na huyu ndugu yetu...
 
Back
Top Bottom