kama kazz
JF-Expert Member
- Apr 28, 2015
- 1,080
- 576
Kama kawaida yetuMida yetu mida yetu
Kama kawaida yetuMida yetu mida yetu
Mi nipo macho sasa leta story
....oi oiKama kawaida yetu
Muda: 02:50am....oi oi
Mie ndio najenga Taifa ,si kila mjenga Taifa anafanya kazi mchanaMuda: 02:50am
Mahali: JF
Baadae natakiwa kulijenga Taifa, Na log OFF!
Kweli we timu popoAmkeni haraka
OkSawa endelea utuombee na ss
Hiyo ibada unafanyia kwenye simu?