Utakuwa umelala
Na take a breakHiyo ibada unafanyia kwenye simu?
Ok sawa ni kwa muda ganiNa take a break
Pole sana pengine uzi ulianzisha hauna maadiliMh mie naanzisha Uzi wanafuta naumia sana
Jinsi Roho atakavyoOk sawa ni kwa muda gani
Ndiyo eneo gani hilo mkuu?Niko Heaven of Peace Dar es Salaam
Sawa mkuu basi ielekeze iendelee kupumzikaJinsi Roho atakavyo
Hii ibada itakuwa ya kichawi maana muda ni hatari?
Ndiyo nn
Arsenal kapigwa hizo na sisi wa mashariki ya mbali tunachangia hivyohivyo. Kumbuka kuna wakati ukilala wengine wanaamkaNdiyo nn
Ok sawa lol majangaArsenal kapigwa hizo na sisi wa mashariki ya mbali tunachangia hivyohivyo. Kumbuka kuna wakati ukilala wengine wanaamka
Usitukoseshe usingizi UEFA wana agenda ya siri na Arsenal.....haiwezekani kila msimu
Usitukoseshe usingizi UEFA wana agenda ya siri na Arsenal.....haiwezekani kila msimu
Hiwezekaji kila 16 bora Arsenal na Bayern tu kuna nini hapo!??? Hawa UEFA wana jambo laoYa kweli hayo mkuu?
Duh! Niliingia kusali nikalala.....maombi ya usiku muhimu sana. Maana kukikucha unakuwamshindi wa kila kitu, uwe na siku njema ndugu yangu...,Roho ya Mwenye Enzi Mungu huwa haipumziki milele yoteSawa mkuu basi ielekeze iendelee kupumzika