Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Dah yaani usingizi hata hauji leo.nimekuwa na siku mbaya kweli.

Mi nina,majanga all over..simba kapakatwa,asernal kapigwa kama mwizi huku madrid nao ndoivo nikikumbuka hotuba ya jk kule dodoma,ndo napata jinamizi kabisaaaaa....aaagh ngoja niokoke tu
 
Mi nina,majanga all over..simba kapakatwa,asernal kapigwa kama mwizi huku madrid nao ndoivo nikikumbuka hotuba ya jk kule dodoma,ndo napata jinamizi kabisaaaaa....aaagh ngoja niokoke tu

Tupo pamoja mkuu...Mi ongeza na joto la kufa mtu..nipo Mozambique nacala porto fikiria mvua inanyesha nje lkn kuna fukuto la kufa mtu...wacha nikajiloweke
 
Tupo pamoja mkuu...Mi ongeza na joto la kufa mtu..nipo Mozambique nacala porto fikiria mvua inanyesha nje lkn kuna fukuto la kufa mtu...wacha nikajiloweke

Hahaha poleni dah kila angle imekuwa mbaya kuanzia hotuba ya Jk, kalenga,aseno, R mdrid dah poleni kwa kweli




Sent from Nokla using Jf app
 
Pole sana Mkuu Kigogo hilo la Simba linanihusu sn na la JK lichukulie poa kwani watz wa leo siyo wale wa kipindi kile.

Mi nina,majanga all over..simba kapakatwa,asernal kapigwa kama mwizi huku madrid nao ndoivo nikikumbuka hotuba ya jk kule dodoma,ndo napata jinamizi kabisaaaaa....aaagh ngoja niokoke tu
 
Last edited by a moderator:
Mi nina,majanga all over..simba kapakatwa,asernal kapigwa kama mwizi huku madrid nao ndoivo nikikumbuka hotuba ya jk kule dodoma,ndo napata jinamizi kabisaaaaa....aaagh ngoja niokoke tu


duh pole mkuu mimi ilikuwa ni kipigo cha madrid, hotuba ya jk na kuna samaki watatu walikufa wakufuga dah hao ndo wameniuma zaidi so nw nimebaki no 7 tu out of ten,dah yaani roho imeuma sana tena walikuwa red,2 na gold fish mmoja
 
duh pole mkuu mimi ilikuwa ni kipigo cha madrid, hotuba ya jk na kuna samaki watatu walikufa wakufuga dah hao ndo wameniuma zaidi so nw nimebaki no 7 tu out of ten,dah yaani roho imeuma sana tena walikuwa red,2 na gold fish mmoja

pole sana kwa kufiwa na samaki, kwani jk aliongea nini maana wengne sie huwa hatujui kinachoendelea duniani
 
pole sana kwa kufiwa na samaki, kwani jk aliongea nini maana wengne sie huwa hatujui kinachoendelea duniani
ahsante mwaya,jk alisema alipigilia msumari kwamba katiba inayotakiwa na serikali yake iwe na mundo wa serikali mbili tofauti na maoni ya wanachi yaliyokusanywa na jaji warioba waliopendekeza serikali tatu natumia simu sasa ila muda si mrefu nitakuwekea link ya hotuba zote mbili
 
ahsante mwaya,jk alisema alipigilia msumari kwamba katiba inayotakiwa na serikali yake iwe na mundo wa serikali mbili tofauti na maoni ya wanachi yaliyokusanywa na jaji warioba waliopendekeza serikali tatu natumia simu sasa ila muda si mrefu nitakuwekea link ya hotuba zote mbili

ok asante
 
Back
Top Bottom