yanii apa uwezi amini...nimeoga chap mtu mzima na nimevaa kakiboxer kangu kadogo dogo..pu.m.bu lote njee nimejiachia mbele ya laptop for youu my sweety sweetyy...mybebii ooo...my nambari uno,,,hehehe
nimekuota mtoto na ushungi umejistili unakatiza kko na kapu lako unantafutia mboga ya kuniungia usiku...mda umefika jaman nataka pakua mwaya..nina njaa na wewe:majani7:
Wadhee thithi tulale
goog night
-
ntake radhi babuu sijamwambia aje kula mie
haya nsamehe bibie kwa tafsiri langu.
Kila ninapokutana na hii thread nakuwa nimeamka
Hivi huyu mdada anaitwa farkhina yupo wapi Jerrymsigwa kama utamuona msalimie sana.
Wahoo thats gud namtakia kila la heri M/Mungu amjalie nguvu na afya ajifungue salama Amen.
Mkuu nilikuepo dah yaani hapa siku hizi watu hamna sijui wameenda wapi Excel mzee wa Beverly Carlif huko wapi ?
mkuu nipo aisee...! nimebanwa na ujana bana!
mang'ana yameanza kunifika shingoni!
Habari zenyuuu bana!!
njema sana kabinti spesho! mzima ww?
Mie buheri wa afya
siku hizi umeadimika kama chozi la pweza!! vipi, kuna tatizo?