Mkuu we acha nili creat ID mods wakaunganisha nika creat nyingine wakaunganisha tena acha tu mkuu.
what do you think Jerrymsigwa wants from you?
wapi nimesema nimepigwa ban bana!! uchokozi tu, i know what you want qulaleki!!
niaje lakini!!?
Hii nilikosea ku-quote mkuu, hujambo?
huyu mshikaji tulishazinguana bana... nilimwambiaga naishi california! hahahaaaaaa!!! baadae tukakutana kariakoo shimoni!!
nilimuingiza mjini na ukubwa wake... sasa akiniona anakumbuka!
huyu mshikaji tulishazinguana bana... nilimwambiaga naishi california! hahahaaaaaa!!! baadae tukakutana kariakoo shimoni!!
nilimuingiza mjini na ukubwa wake... sasa akiniona anakumbuka!
Kuna mshkaji wako alini-pm kunipa details zako hauko California te te tee kumbe ni swagger tu. Ila we mkali sio kidogo, cheki mida hii uko macho, najua huko kwetu Afrika ni night
Teh teh teh dah umenichekesha sana mkuu hii ndio raha ya JF, chezea carlif wewe aha aha aha muambie ungemuambie upo Miami.
Kuna mshkaji wako alini-pm kunipa details zako hauko California te te tee kumbe ni swagger tu. Ila we mkali sio kidogo, cheki mida hii uko macho, najua huko kwetu Afrika ni night
ila mkuu ungetumia tu busara kwa kuwasiliana na uongozi angalau wakupunguzie muda... support@jamiiforums.com, ungeongea nao live mkasema kiutu uzima, wale nao ni watu...
Bill umenikumbusha kuna dogo aitwa bill huwa ananifunza kithai View attachment 143885
Wakuu niwaage, mida mida basi time ya mishe c ya later
Wakuu niwaage, mida mida basi time ya mishe c ya later
kwa kweli sikufikiria ilo mkuu hope ningepata ushauri kama huu mda ule ninge respond.
mishe saa hizi? oh sorry, mchana mwema bana!! lolz!
aisee mimi nilishagongwa ya miezi mi3!! aisee sikuvumilia bana, ndani ya siku hiyo hiyo nikawaingilia kupitia yahoo nikaongea sana, bembeleza mno! nikarudishiwa baada ya saa3.. aisee nilipumua duh!!
ila usijali, karibu sana!!
Bado mupo? Muzee wa California leta maneno