Nani wa kumkamata Netanyahu na Putin?

Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?

Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?

Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa dunia ni wanafiki.
Kuhusu Netanyahu,kama USA na UK haitajihusisha anaweza kamatika.
Ila Putin one man army hakuna anayeweza kumgusa labda China na Turkiye ila nao ni washirika wa Russia.
 
Kuhusu Netanyahu,kama USA na UK haitajihusisha anaweza kamatika.
Ila Putin one man army hakuna anayeweza kumgusa labda China na Turkiye ila nao ni washirika wa Russia.
Hakuna wa kumkamata Netanyahu
 
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?

Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?

Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa dunia ni wanafiki.
Hamna Zaid ya Mungu
 
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?

Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?

Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa dunia ni wanafiki.
Putin na Netanyahu ni wazalendo. Wanatetea maslahi ya nchi zao
 
Netanyahu anadakwa tu Kama paka,aende Norway,south Africa hawakumkamata Al Bashir kwa kuwa hawakukubaliana. na mahakama kukamata waafrika tu,wakitaka bush na Blair nao wakamatwe
Huwezi kumkamata Netanyahu. Hakuna taifa lenye huo ubavu
 
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?

Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?

Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa dunia ni wanafiki.
Sarakasi za sihasa za kidunia, kwa akili za kuzaliwa tu utaanzaje kujikamata we mwenyewe? USA = Israel, nimekaa pale.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?

Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?

Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa dunia ni wanafiki.
We sema tu, lakini hujui maana ya mtu kuishi huku akiwa na order ya kukamatwa kwake mkononi. Hawa watu wamezoea kutembea nchi mbali mbali duniani kama wewe unavyokwenda mjini na kurudi nyumbani. Si kiofisi tu bali hata private.

Sasa kuwa na karatasi kama hilo linamfanya afikiri mara kumi wapi atembelee na wapi asitembelee. Masikini, sehemu anazoweza kutembelea ni Marekani na uingereza tu kwa sasahivi. Sehemu nyingine zote ni moto.
Achana na Nitanyahu, kuna mtu alitisha kama Milisovich na mladivich! Acha wee, ngoja siku moja upate karatasi la kutafutwa na kukamatwa hata kama limetolewa na Tarafa yako, hutalala.
 
Akanyage Norway sasa!! Kwani who the hell is Netanyahu? Nchini kwake tu ana kesi ya ufisadi means akikitwa na hatia atafungwa. Kama nchi yake tu imemfikisha mahakamani kipi cha ajabu kwa ICC au nchi yoyote kumshtaki?
Hakuna wakumkamata Netanyahu taifa lolote duniani. Wewe unaona ni kazi rahisi
 
Back
Top Bottom