Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,641
- 46,290
Ikiwa mawakili wanaoitetea Israel wataiuliza Africa Kusini tu kama watatekeleza waranti ya ICC ya kukamatwa kwa Putin endapo atatembelea nchi yao wanaweza kuuharibu kabisa kesi hiyo kwani Africa Kusini itakuwa na kigugumizi kizito.
Kwa hiyo mashiko ya utetezi wa Israel katika kesi hiyo yanaweza kujengeka kwamba ikiwa Africa Kusini haiheshimu mamlaka na hadhi ya mahakama ya ICC linapokuja suala la kumkamata Putin na kama ambavyo ilipuuza kumkamata Omar Al Bashiri wa Sudan kwa makosa ya genocide kwa kwa nini imeleta kesi dhidi ya Israel sasa na kwa nini kesi hiyo iheshimike wakati Africa Kusini ina double standards!
Inaweza kuwa kesi nyepesi sana.
Kwa hiyo mashiko ya utetezi wa Israel katika kesi hiyo yanaweza kujengeka kwamba ikiwa Africa Kusini haiheshimu mamlaka na hadhi ya mahakama ya ICC linapokuja suala la kumkamata Putin na kama ambavyo ilipuuza kumkamata Omar Al Bashiri wa Sudan kwa makosa ya genocide kwa kwa nini imeleta kesi dhidi ya Israel sasa na kwa nini kesi hiyo iheshimike wakati Africa Kusini ina double standards!
Inaweza kuwa kesi nyepesi sana.