Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Leo katika kucheki Mwanachi ya leo nikakuta habari nzuri isemayo MAMA AJIFUNGUA WATOTO 5! Nilifurahi sana nikasema hana haja ya kuongeza watoto wengine wametosha.
Nilipoendelea kusoma newz hii, huyu mama ni uzazi wake wa 10! Pia ameshawahi kujifungua mapacha mara 6,jumla ana watoto 20 now!!!
Hivi hili ni kosa la nani hasa Baba au Mama? Jamani 2punguze offside uwanjani!!!
Nilipoendelea kusoma newz hii, huyu mama ni uzazi wake wa 10! Pia ameshawahi kujifungua mapacha mara 6,jumla ana watoto 20 now!!!
Hivi hili ni kosa la nani hasa Baba au Mama? Jamani 2punguze offside uwanjani!!!