Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Mi sio Lizzy...natumia tu ID yake!!
Mhhhhhhh ngumu kumeza sasa usikasirike wachakachuaji kama kina dada Dena Amsi wakiibuka hapa, Ina onekana NN anakunyima uchingiji eee, au mnapendana kijanjajanja
 
See i got you all figure out..
You need everyone‘s Thanks and Likes to feel noticed...
Behind that tough guy persona you put up ..you don‘t even know who you are..
You got an attitude to hide your true self..
You throw it around like you are cooler than all of us..
You never say ‘hey‘ or give me Likes cause you probably think you are cooler than me...

I'm cooler than the work water cooler
Slicker than the Pajero Intercooler

Tough guy ain't my persona
Never been a gangsta

I'm a full time hustler
Never been a part timer
Always the headliner
 
Nimefurahi saaana kuona msimamo wako leo... i bliv CPU is so proud of you leo... basi tu kujishebedua! Me glad you my partner...
Thanks partner...ili Sipiyu kama kawa kaenda kulala huku amenuna!!Eti anahisi nshaanza kuibika ibika!!
 
Mhhhhhhh ngumu kumeza sasa usikasirike wachakachuaji kama kina dada Dena Amsi wakiibuka hapa, Ina onekana NN anakunyima uchingiji eee, au mnapendana kijanjajanja
Hahhahaha...Shantel bana!!Haya nenda kalale mamaa mkanda umeisha!
 
I'm cooler than the work water cooler
Slicker than the Pajero Intercooler

Tough guy ain't my persona
Never been a gangsta

I'm a full time hustler
Never been a part timer
Always the headliner

As if..........
 
Thanks partner...ili Sipiyu kama kawa kaenda kulala huku amenuna!!Eti anahisi nshaanza kuibika ibika!!


Ni vizuri kufanya hivyo... maana akiona hamna anaeku mind anajisahau.... wacha akina NN na Kloro wamrushe kidogo...
 
haha !ha!
umenichekesha wew jaman...tuazime iyo yako basi..mwanaume kuwa mchoyo wala ahainogi...
mwanaume wewe kiswahili lugha ya taifa sasa unavyojitia kimbelembele km matiti ya isha mashauzi wala hainog...mwaga kishwahil apo kati twende sawa...usichezee moto utakuuunguzaaaaaaaaaaaa....!!!!!!

Baaa........Kunoga Somooooooooooooooooo..............
 
Nilisahau unajua humu kuna memba wengi sana huyu katavi nilimsahau ananifurahisha sana kwanza nikiiona tu Avatar yake nasikia furaha, halafu michango yake huwa inanifurahisha sana ni mtu wa utani asiyependa kuudhi watu. Nakukubali kaka kama hujaoa nitakuachia wa kwangu si unatua wamasai......... Usijichekee natania tu.
Ahahahaaah!! Mkuu Gazeti.......utani mwingine sio mzuri.....lol!!
 
daah mambo vipi mpenzi
ndo nini kupotea hivyo jamani
dahhh Paka Mweusi alikufuata
naye sijui ndo kapotea njiani mmmhh
Hujambo lakini mami??

Sijambo AD
Dah, niko shambani bwana wangu,
Si unajua msimu wa mvua huu,
Tunapalilia wangu,
Dah huyu Paka nitamfunga kengele nikimkamata aisee.
 
Sijambo AD
Dah, niko shambani bwana wangu,
Si unajua msimu wa mvua huu,
Tunapalilia wangu,
Dah huyu Paka nitamfunga kengele nikimkamata aisee.
We nae umepotea sana rudi mjini shamba hakukufai kabisa
 
Back
Top Bottom