Nani unamkubali sana JF?

Huyu bi dada misschagga huwaga namkubali....

Mwingine nifah sema basi tu ni Team kiba.... Bila kumsahau Dinazarde FaizaFoxy .... Nani amenuna?

Hahahaaa,kama kuna aliyenuna na a sign of!
Acha hizo bwana, huu u Kiba vs Diamond kisiwe kikwazo.
Nakukubali ila sometimes......
 
Last edited by a moderator:
Wasije wakatangaza nia hao mnaowakubali....hahahahaha najikubali mwenyewe
 
Lara 1 hana mpinzani,,,hila kwa notes utazan mwalimu wa history ,duh!
 
Mie si mwenyeji sana hapa JF. Hata hivyo wachangiaji wengi ni makini sana. Mnatupa maarifa na uzoefu. Binafsi nawakubali hawa: FaizaFox, Lara 1, Mzizi mkavu, Mshanajr, Misschaga, Shyland, Mzee Mwanakijiji, nifah, and Heaven on Earth. Endeleeni kutupa maarifa wajama.
 
Mi namkubali faizaFoxy, misschaga , angelita, MankaM, amu , @Watu8, Asprin , mito, na wengine wooote.

Hakyamama leo nimepata zali kama alilopata Membe kumpokea prezidaa Kagame. Kukubaliwa na kubwa la maadui ni bahati kama Lowassa kutangaziwa nia na wachungaji na mashehe.

long live lara 1 moko. Mi najua unajua navyokukubali. Yani basi tu yani.
 
Last edited by a moderator:
Nawakubali sana Ma-Ex zangu.
Pamoja na mume wangu wa sasa TANMO
 
Last edited by a moderator:
am very happy to be in your list lara 1, much appreciated from you - the one woman army!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…