Nani rafiki yako?

Nani rafiki yako?

erickdom

New Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
4
Reaction score
4
Hivi leo, ni nani ambaye anaweza kuwa rafiki yako wa kweli, na ukasema mble ya watu kuwa huyu ni rafiki yangu kipenzi. mfano, hata mkeo leo anasaliti, mama mzazi na hata baba wote wasaliti.

Niende wapi? Ushauri
 
Mwamini Mungu wako na yeye peke yake hatakusaliti wala hatakuonea wivu wala hatakuwa mnafiki na mmbea na mwongo
Ila binadam tumekuwa kituko siku hizi hakuna rafiki wa kweli mwenye upendo wa kweli na atakayekuwa mwema na mkweli kwako
 
just BE YOU...........,

ukiwategemea wengine kupata furaha imekula kwako
 
Hivi leo, ni nani ambaye anaweza kuwa rafiki yako wa kweli, na ukasema mble ya watu kuwa huyu ni rafiki yangu kipenzi. mfano, hata mkeo leo anasaliti, mama mzazi na hata baba wote wasaliti. niende wapi?

HAKUNA RAFIKI KAMA YESU! YU PEKE YU PEKEE YU PEKEE! mkuu huyu ndo RAFIKI WA UKWELI utamsaliti wewe yeye hawezi kukusaliti so usikate tamaa bado yupo wa ukweli Yesu!
 
Hivi leo, ni nani ambaye anaweza kuwa rafiki yako wa kweli, na ukasema mble ya watu kuwa huyu ni rafiki yangu kipenzi. mfano, hata mkeo leo anasaliti, mama mzazi na hata baba wote wasaliti. niende wapi?
rafiki wangu wa kweli ni Mungu wangu na watotot wangu baaasi
 
mi namtegemea Jesus Christ Kupata furaha ya kweli aisee, haniangushi huyu kijana ana mapenzi ya kweli na nimwaminifu , jina lake lina nguvu kupita majina ya wanaume wote!!!!!

Yesu ndio rafiki wa kweli!!!!

we ukitegemea eti kaka ake Lady doctor atanipa furaha......

mbona inakula kwako,utasubiria wewe hiyo furaha
 
Last edited by a moderator:
mi namtegemea Jesus Christ Kupata furaha ya kweli aisee, haniangushi huyu kijana ana mapenzi ya kweli na nimwaminifu , jina lake lina nguvu kupita majina ya wanaume wote!!!!!

Yesu ndio rafiki wa kweli!!!!

mdau umeongea vyema ila hapo kwenye nyekundu umenitia ukakasi! hili ni jina lipitalo majina yote! kusema huyu kijana? sijui umewaza nini? yamkini ulimaanisha kivingine nami nikadhani tofauti?
 
Hivi leo, ni nani ambaye anaweza kuwa rafiki yako wa kweli, na ukasema mble ya watu kuwa huyu ni rafiki yangu kipenzi. mfano, hata mkeo leo anasaliti, mama mzazi na hata baba wote wasaliti. niende wapi?


Unatafuta rafiki wa kweli? wapi hapa duniani? wa nini? HAKUNA maana hata wewe huwezi kuwa rafiki wa kweli kwa mwingine.
 
Akuna rafiki wa kweli duniani rafiki wa kweli ni Mungu amini ivyo
 
Jesus Christ of Nazareth, ndiye rafiki wa kweli
 
mdau umeongea vyema ila hapo kwenye nyekundu umenitia ukakasi! hili ni jina lipitalo majina yote! kusema huyu kijana? sijui umewaza nini? yamkini ulimaanisha kivingine nami nikadhani tofauti?

sikuwa na maana mbaya kusema ni kijana, ujue kila mwenye uhitaji juu ya bwana Yesu... Hulitumia jina hili kutokana na uhitaji wake.
Namchukulia kama kijana ili nizidi kuwa na moyo wa imani na mapenzi juu yake... Na hiyo ndio faraja yangu!!!!!!!!
 
hawezi kuwa rafiki aisee anaweza kukugeuka ile sio damu yako ati ni watu wakukutana ukubwani nakuishi nao kwa akili akilala na panga na wewe lala na shoka lako aweza hata kukua na mshipa usimcheze am sorry Eiyer
pitia hapa utanielewa vizuri
Picha za kikatili za mwanamke aliyeuawa kwa kutobolewa KOROMEO - MPEKUZI


Ningekuwa na uwezo ningekushauri uachike halafu ujifunze ndoa ni nini kisha uolewe upya

Haya maelezo yako yanaonesha umeolewa kwa sababu umezaliwa ukakuta kuna kuolewa na sio unajua nini maana nna sababu ya kuolewa
Pole sana!
 
Back
Top Bottom