Nani ni Meneja wa kampeni ya Samia Suluhu Hassan

Nani ni Meneja wa kampeni ya Samia Suluhu Hassan

Hata ashinde tundu lissu urais,rostam atakuwepo na lissu atashirikiana na lissu na mtaishia kumtukana lissu pia,fanyeni kazi acheni uongo na uzushi
 
Mama amepwaya Sana nimeona Leo yupo ngerengere anaitaja CHADEMA......Bado anatembea na nyota ya akina lissu
 
Back
Top Bottom