Ndugu zangu naomba tujadili swala hili kwa hekima na ustarabu mkubwa na tutangulize utaifa wetu kuliko kutanguliza vyama vyetu
Nani mwenye mamlaka ya kuruhusu mikutano ya kisiasa kufanyika nchini? je ni
1-Katiba ya nchi
2-Polisi
3-Msajili wa vyama vya siasa
4-Vyama vyenyewe
Mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru
Nani mwenye mamlaka ya kuruhusu mikutano ya kisiasa kufanyika nchini? je ni
1-Katiba ya nchi
2-Polisi
3-Msajili wa vyama vya siasa
4-Vyama vyenyewe
Mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru