kujua all things dealer do its very difficult sema kwa uchache we know their movements.. napo some time kwa small capital inakuwa ngumu kuwa consistency ndani ya muda mrefuIn short ,....unverified forex brokers n scam...na wanajua watu dunian wanapend vitu quick.....wanachomesha acc intended...... Google forex scam brokers...utajua kama haujachagua broker.....but still forex n legal and real business.....
Trust me and it's much easier to trade with them not againstalso they have mandate... to see where retairs place their order so its much easier to move against
Sidhani Kama hakuna kitu kwa ajili yako hapa dunianiKumbuka pia siyo kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu namaanisha jipimevizuri huenda Forex is not for you. Watu wengi uwa wanahisi kwakuwa flani kafanikiwa kwa njia hii na mimi nitafanikiwa kwa njia hiyo hiyo, that is not true kuna mambo mengine utashuhudia mwenzako anafanikiwa ila wewe ukjaribu hutofanikiwa kamwe bali utaishia kupoteza muda.
Kwanza tafuta sehemu upate uhakika wa kula then uje utrade ukiwa umetuliza akili, ukitrade huku uko desperate lazima utachoma kila day.
Anyway ila mimi ninaamini kuna vitu ambavyo si kila mtu anaweza kufanya, na ni rahisi kujua hii kitu siyo kwa ajili yangu na ndiyo maana mtu anashindwa kuwa consistent kwakuwa siyo mahala pake akifika anapofiit atatulia tu haijalishi atakutana challenges ngapi.Sidhani Kama hakuna kitu kwa ajili yako hapa duniani
Unataka commitment bila kurudi nyuma bila kuangalia Nani anasema Nini unahitaji moyo mgumu na mbishi .
Kelele zimejaa sana kitaa kuvunjana moyo vijana badala ya kukomaa na kitu kimoja wanaruka ruka Leo anauza kuku,kesho anauza mchicha,kesho anauza vitunguu
Huwezi kuwa expert wa kitu Kama unaruka ruka tu na kila kitu unaishia njiani
Na ndivyo ilivyo halafu hakuna pesa rahisi kiivyo kwenye tasnia yetulazima ikuchuje kweli maana unaweza pata pesa mapema utasumbua watu kitaa kwahio lazima upigike urushwe rushwe upelekeshwe ulizwe upoozwe ndio Sasa uanze Pat's mafanikio consistently
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia mtaani mkuu, fanya chochote,
Mimi Nina elimu ya sheria lakini nauza Bar,
Halafu sioni Noma wala nini, hata wateja wangu wanalijua hilo.
Hata leo nikipata kazi mahakamani naacha hii kazi naingia mahakamani fresh kabisa.
Upo bar gani nataka nitimbe leo hapo kupata hata vi Heineken 8Ingia mtaani mkuu, fanya chochote,
Mimi Nina elimu ya sheria lakini nauza Bar,
Halafu sioni Noma wala nini, hata wateja wangu wanalijua hilo.
Hata leo nikipata kazi mahakamani naacha hii kazi naingia mahakamani fresh kabisa.
True, haya maisha sio ya kuchagua kazi, machalii hawatosomaSafi kbs mwanadada...ndo maana muda mwingi wewe ni masanga🤭💕!ukiweka aibu mbele chooni hutaenda
Hawatasoma kabisa...hawatavaa Wala kula..! Keep it maa!True, haya maisha sio ya kuchagua kazi, machalii hawatosoma
Robert Kayosaki anasema Ku diversify ni kupoteza resource hasa time na capital.
Anasema chagua field then find Financial Knowledge.
#Rich Dad - Cash Flow Quadrant.
NANI YUPO SAHIHI?
Lawyer piga kaziIngia mtaani mkuu, fanya chochote,
Mimi Nina elimu ya sheria lakini nauza Bar,
Halafu sioni Noma wala nini, hata wateja wangu wanalijua hilo.
Hata leo nikipata kazi mahakamani naacha hii kazi naingia mahakamani fresh kabisa.
Sawa Dia wangu, ukija tena ntafute,Lawyer piga kazi
Mwezi wa tano nilikuwa A town ningejua ningekustua
Thanks wangu 😘Hawatasoma kabisa...hawatavaa Wala kula..! Keep it maa!
Poa mamiloSawa Dia wangu, ukija tena ntafute,
Hili ni Dini kubwa ulilonipa leo Mkuu nafaka.Aisee nikupe pongezi sana hapa wengi ndipo hushindwa, na wote wenye moyo kama wako na ujasiri walifanikiwa. Mimi nilisoma Uchumi lakini sijawahi kupractise kazi yoyote related na hayo mambo.
Sijawai kufanya Forex ila nature ya uumbaji toka tuumbe.Kuna watu wanapigia debe sana Forex lakini mbona vilio ni vingi?
Nani ameshatoboa kupitia forex?