Nani mwenye hali ya kiuchumi kama yangu muda huu? Toa mawazo jinsi ya kujikwamua

asante mkuu... mimi ni mwanaume kwokwote kambi, ingekuwa vizuri nikajua hizo kazi zinakuwa za aina gani na kipato chake na utaratibu wakuingia? ili hata nikisema nakuja najua naanzia wapi asante
Kuna mshikaji nilimchoroea ramani za visiwani...aisee...unajua unaongea na mtu Hana mzuka wa kutoka dar...naye aliuliza maswali ambayo dah...!wewe Kama kweli mwanaume maswali naKama hayo utayakuta huko huko...Mie naamini hujapigika
 
Mkuu kwa sasa nakushauri usife moyo, ya jana yamepita kibaya nikujutia usiyoweza yabadilisha, cha kuzingatia Zaidi ni muda.

Mkuu wekeza katika muda kama huna pesa nguvu zako ni mtaji tosha fanya vibarua vyovyote hata kama huvipendi fanya kwa moyo wote na upende unachokifanya utajikuta mtazamo wako una badilika na ndio mwanzo wakuona mafanikio. Hapa unatakiwa uwe na malengo na nidham ya hali ya juu ili usijikute unatumia muda mrefu kwenye kazi zisizo na tija.

Pesa za haraka kama forex ni risk sana na sidhani kama ni chaguo sahihi la kwanza kwani itakuongezea stress ikufanye u loose focus. Kama unapesa kidogo fanya kitu chenye kukupa real money hata kama ni buk 2 kwa siku ilimradi una uchu wa mafanikio mwanga utaongezeka na kipato kitaongezeka pia.

Zingatia sana Muda narudia tena wekeza kwenye Muda pia mshirikishe mwenyezi MUNGU katika kila jambo naamin siku moja utatoa ushuhuda wa kule ulikotoka.
 
Trust me and it's much easier to trade with them not against

Na ukijua umejua hutorudi nyuma tafuta skills mzee achana kelele za watu

Ukianza kitu usiishie njia huwezi fanikiwa kamwe asilani

Kaa mbali wakatisha tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza unanuaje movements za big movers? Yani hapa mzigo ushaanza kusepa ili na wewe huunge tela, and how long you stay in the market?
 
Dah...Nidhamu, hofu na kuwajibika ndiyo msingi wa mwanzo wa maendeleo ya binadamu... Jichangechange tafuta Dem mkali...mtie mimba...kisha kajitambulishe kwao...Kila kitu kitakuwa mstarini tu
 
Ingia mtaani mkuu, fanya chochote,
Mimi Nina elimu ya sheria lakini nauza Bar,
Halafu sioni Noma wala nini, hata wateja wangu wanalijua hilo.
Hata leo nikipata kazi mahakamani naacha hii kazi naingia mahakamani fresh kabisa.
Duh! Bar unaiuza sh ngp mkuu?
 
Braza unanuaje movements za big movers? Yani hapa mzigo ushaanza kusepa ili na wewe huunge tela, and how long you stay in the market?
A very big secret

Watakaojua ni wale wateule tu waliokomaa na hii kitu mwanzo mwisho ukiishia njia hutojua kamwe utaishia kulaumu na kutukana tu

Ukiweza ng'amua how big market movers wanaendesha soko FX Ni Kama a,e,I,o,u

Makert movers Ni Kama
CitiBANK
HSBC
JP MORGAN
GOLDMAN SACHS
ABSA (formerly BARCLAYS )
BANK OF AMERICA

pia Kuna hedge FUNDS Kama

Bridgewater associates

Reianassance technologies

Man group

Pia Kuna big corporation and other financial institution

Hawa ndio wanaendesha soko la FX ukienda kinyume nao utalipa tu

Hizo financial institution zinaaajiri watu wenye uwezo mkubwa katika hesabu, coding,na fedha huwezi trades against wao ukabaki salama utaituiana FX milele

So tafuteni elimu kwanza hii fan hakuna ujanja ujanja Kama MR KUKU


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A very big secret

Watakaojua ni wale wateule tu waliokomaa na hii kitu mwanzo mwisho ukiishia njia hutojua kamwe utaishia kulaumu na kutukana tu

Ukiweza ng'amua how big market movers wanaendesha soko FX Ni Kama a,e,I,o,u

Makert movers Ni Kama
CitiBANK
HSBC
JP MORGAN
GOLDMAN SACHS
ABSA (formerly BARCLAYS )
BANK OF AMERICA

pia Kuna hedge FUNDS Kama

Bridgewater associates

Reianassance technologies

Man group

Pia Kuna big corporation and other financial institution

Hawa ndio wanaendesha soko la FX ukienda kinyume nao utalipa tu

Hizo financial institution zinaaajiri watu wenye uwezo mkubwa katika hesabu, coding,na fedha huwezi trades against wao ukabaki salama utaituiana FX milele

So tafuteni elimu kwanza hii fan hakuna ujanja ujanja Kama MR KUKU


Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ABSA ni Barclais Bank nilidhani bank mpya.
 
A very big secret

Watakaojua ni wale wateule tu waliokomaa na hii kitu mwanzo mwisho ukiishia njia hutojua kamwe utaishia kulaumu na kutukana tu

Ukiweza ng'amua how big market movers wanaendesha soko FX Ni Kama a,e,I,o,u

Makert movers Ni Kama
CitiBANK
HSBC
JP MORGAN
GOLDMAN SACHS
ABSA (formerly BARCLAYS )
BANK OF AMERICA

pia Kuna hedge FUNDS Kama

Bridgewater associates

Reianassance technologies

Man group

Pia Kuna big corporation and other financial institution

Hawa ndio wanaendesha soko la FX ukienda kinyume nao utalipa tu

Hizo financial institution zinaaajiri watu wenye uwezo mkubwa katika hesabu, coding,na fedha huwezi trades against wao ukabaki salama utaituiana FX milele

So tafuteni elimu kwanza hii fan hakuna ujanja ujanja Kama MR KUKU


Sent using Jamii Forums mobile app
Mazigazi naomba nicheki wasap bro 0768246184.
 
.
Habari wana JF,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, ni mhitimu wa Shahada ya Electrical & Electronics Engineering. Katika moja ya Chuo Kikuu hapa mjini Dar es Salaam kama ilivyo kawaida ya vijana wengi tukiwa vyuoni hujisahau kuwa kuna kumaliza masomo na kushindwa ku tafakari kukabiliana na maisha baada ya kumaliza chuo madhara yake ndio nayaona sasa.

Akili ilianza kuniijia nilipofika mwaka wa nne wa masomo yangu, nikawa ni mtu wakujiuliza sana inakuwaje nitaendesha maisha baada yakumaliza chuo na ukizingatia uchache wa ajira mtaani, nikawa mtu wa kujifariji muda wote nakusema nitafanya hata kazi ndogo ndogo za wiring installation maisha yataenda. Ilipofika August 2019 nilifanikisha kumaliza masomo yangu sasa hapo ndio ugumu wa maisha nikaanza kuuskilizia haswa haswa , nikiwa ghetto chakula kikaanza kuwa shida, madili yenyewe ya wiring installation yakawa machache kiasi kwamba kutegemea kunihudumia ikawa ngumu,

Nikawa ni mtu wa kuzunguka na barua za internship japo nipate hata hela ya kula tu, napo sikupata siku zikasogea mwenye nyumba nae anataka pesa yake hapo nakumbuka nimezidisha kama miezi mitatu , nilihisi kudata huku na kule nikakutana na mshkaji nikiwa nimesoma nae chuo course moja, akaanza kunipanga kuhusu forex kwa alivyonielezea tu nikajilaumu sana kuchelewa kuijua hii biashara nikauza vitu vyote ghetto kwa hasara nikapata kama 360tsh mwenye nyumba tukagawana nusu hasara nikampa 90tsh.

Mimi ni kati ya watu ambae nilikuwa na diss sana kukaa kwa ndugu ila nikasema siyo kesi kwakuwa nimeijua forex mwezi mmoja tu utanitosha kukusanya mkwanja wakupanga eneo zuri zaidi.

Bhasi kuanzia December nikaanza kukaa kwa ndugu na by January 2020 nikawa nimeingia rasmi kwenye ulimwengu wa FOREX kwa kile kiasi kilichobaki kutoka kwenye mauzo ya vitu vya ghetto ndio nikaanza nao kama mtaji na kujifunza kwa miezi nane mfululizo ni mimi na forex tu nikijipa matumaini nikiona baadhi ya wanufaikaji lakini kila nikijitahidi naishia kuchoma acc nakuanza upya tena kutafuta mtaji

Nimekuja kujitasmini toka January mpaka sasa August hakuna kitu nimefanya hata mia mbovu sina zaidi ya matumaini, Roho inauma sana sana nimefika point najihisi mfadhaiko moyoni, nanikifikiri nipo kwa ndugu umri unakimbia ndio nachanganyikiwa kabisa.

Naombeni mawazo yenu wandugu nianzie wapi ilihali sina mtaji.

Nakaribisha mawazo, maoni ,ushuhuda pia itapendeza Asante.
Kama no mraalamu zungikia site, waone wanaojenga uombe iazi moja kwa moja kwao.Tafuta mafundi wawe madali mega pasenti ule nao.Mafundi ndio habari ya mjini wanamtandao wao
 
Tuhamie piptwitz.com kule positivity kubwa kila mtu ana trade forex humu kuna watu yamewashinda sasa wanaharibu vichwa vya wanao pambana hakuna kitonga kokote maishani ukiona kitu kila mtu anaweza akakifanya akatengeneza pesa nacho jua kabisa hakuna pesa yakueleweka hapo.

Ila ukiona kugumu ni wachache wanaweza kuiga au kutengeneza pesa na biashara yako basi jua upo sehemu sahihi chakufanya pambana uwe kwa wachache.
 
Pole sana injinia
Ila unakumbuka enzi hizo tukikupa ushauri ujipange ukawa unatuona sisi kaka zako ni wazembe kwamba Tunaendekeza pombe na kujifungia ndani?

Nikuambie home boy, sisi tulikuwa tunakunywa pombe kwa kila pesa tunayoipata na hii ndiyo ilikuwa sababu kuu.

Nakushangaa sana kwa muda mfupi tu huo kwamba umechoka na kukata tamaa, wachana na forex uhame nyumbani upange getho mtaani ukipigika kisawasawa akili zitakuijia

Habari wana JF,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, ni mhitimu wa Shahada ya Electrical & Electronics Engineering. Katika moja ya Chuo Kikuu hapa mjini Dar es Salaam kama ilivyo kawaida ya vijana wengi tukiwa vyuoni hujisahau kuwa kuna kumaliza masomo na kushindwa ku tafakari kukabiliana na maisha baada ya kumaliza chuo madhara yake ndio nayaona sasa.

Akili ilianza kuniijia nilipofika mwaka wa nne wa masomo yangu, nikawa ni mtu wakujiuliza sana inakuwaje nitaendesha maisha baada yakumaliza chuo na ukizingatia uchache wa ajira mtaani, nikawa mtu wa kujifariji muda wote nakusema nitafanya hata kazi ndogo ndogo za wiring installation maisha yataenda. Ilipofika August 2019 nilifanikisha kumaliza masomo yangu sasa hapo ndio ugumu wa maisha nikaanza kuuskilizia haswa haswa , nikiwa ghetto chakula kikaanza kuwa shida, madili yenyewe ya wiring installation yakawa machache kiasi kwamba kutegemea kunihudumia ikawa ngumu,

Nikawa ni mtu wa kuzunguka na barua za internship japo nipate hata hela ya kula tu, napo sikupata siku zikasogea mwenye nyumba nae anataka pesa yake hapo nakumbuka nimezidisha kama miezi mitatu , nilihisi kudata huku na kule nikakutana na mshkaji nikiwa nimesoma nae chuo course moja, akaanza kunipanga kuhusu forex kwa alivyonielezea tu nikajilaumu sana kuchelewa kuijua hii biashara nikauza vitu vyote ghetto kwa hasara nikapata kama 360tsh mwenye nyumba tukagawana nusu hasara nikampa 90tsh.

Mimi ni kati ya watu ambae nilikuwa na diss sana kukaa kwa ndugu ila nikasema siyo kesi kwakuwa nimeijua forex mwezi mmoja tu utanitosha kukusanya mkwanja wakupanga eneo zuri zaidi.

Bhasi kuanzia December nikaanza kukaa kwa ndugu na by January 2020 nikawa nimeingia rasmi kwenye ulimwengu wa FOREX kwa kile kiasi kilichobaki kutoka kwenye mauzo ya vitu vya ghetto ndio nikaanza nao kama mtaji na kujifunza kwa miezi nane mfululizo ni mimi na forex tu nikijipa matumaini nikiona baadhi ya wanufaikaji lakini kila nikijitahidi naishia kuchoma acc nakuanza upya tena kutafuta mtaji

Nimekuja kujitasmini toka January mpaka sasa August hakuna kitu nimefanya hata mia mbovu sina zaidi ya matumaini, Roho inauma sana sana nimefika point najihisi mfadhaiko moyoni, nanikifikiri nipo kwa ndugu umri unakimbia ndio nachanganyikiwa kabisa.

Naombeni mawazo yenu wandugu nianzie wapi ilihali sina mtaji.

Nakaribisha mawazo, maoni ,ushuhuda pia itapendeza Asante.
 
Back
Top Bottom