- Thread starter
- #41
Nikweli unayosema, kama ulishawahi fanya forex naamini utaelewa ni kwa kiasi gani muda unapotea kukaa ndani na computer siku nzima na imekuwa hivyo kwa miezi yote nane, na bado pesa tatizo....Hii hali huwa inatokea kama unajifungia ndani na ujuzi unao