Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

kagasheki na magamba wenzake....namaanisha cdm wote ni wanasiasa bora sichagui
 
Tundu Antipas Lisu ndiyo anafaa kuwa Mwanasiasa bora wa Mwaka. Kwani amewaokoa watanzania kutoka kwenye majanga mengi sana
 
Zitto kabwe

Ni kweli, Zito anastahili hii tuzo. kwa sababu baada ya kuvuliwa vyeo vyake hakujitoa kwenye chama chake. Huu ni mfano bora na mzuri ambao haujawahi kutokea kwa siasa za Tanzania. Pia ameweza kutoa point zenye mashiko pale bungeni hadi kusababisha waziri mmoja kijihuzuru na wengine watatu kutimuliwa.
 
Mathayo David Cleopa Msuya Mathayo. Ingawaje pamoja na kumtaja sana Mungu jana, kilio chake hakikusikika.
 
Back
Top Bottom