Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

zzk
man of the people
ZITTO ZUBERI KABWE
the hero of threated jungle
the youth up-riser in cdm
 
kwa thread hii ndo najua kuwa kuna wanaolipwa kuchafua watu japo hawawakilishi mawazo ya wote,ngoja niendelee kupitia majina ya wapiga kura!
 
Kwanza mbona hii Nomination hailingani na hailinganishi Chama na Chama? Hapa naona ccm ni (3)Huku Chadema ikiwa na (1)
Hailingani na viongozi ambao tunadhani wanaweza kuongoza Tanzania
 
nani sio bora ndani ya chadema? wote ni noma lissu akiwa the number 1.
 
Back
Top Bottom