Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Mpaka sasa wanaoongoza ni kama ifuatavyo:
1)Dr Slaa
2)Zitto
2)Tundu Lissu
4)J Mnyika
Zoezi la kura linaendelea hadi tar 31 usiku.
 
zimebaki siku 3 na masaa machache sana kukaribisha mwaka 2014, ni mwaka ambao tunatarajia vitimbi na sarakasi za kila aina kuelekea chaguzi mbalimbali za serikali za mitaa.

Sasa basi wakati tunauaga mwaka huu wa 2013 ungeambiwa utoe tuzo ya nobel kwa mwanasiasa bora wa wa tanzania kwa mwaka 2013 ungempatia nani?

Unafiki wa kichama tuache pembeni
 
zimebaki siku 3 na masaa machache sana kukaribisha mwaka 2014, ni mwaka ambao tunatarajia vitimbi na sarakasi za kila aina kuelekea chaguzi mbalimbali za serikali za mitaa.

Sasa basi wakati tunauaga mwaka huu wa 2013 ungeambiwa utoe tuzo ya nobel kwa mwanasiasa bora wa wa tanzania kwa mwaka 2013 ungempatia nani?

Unafiki wa kichama tuache pembeni

DR SLAA,,, amejitahidi sana kuwaamsha watz na viongozi wavivu wa ccm
 
GODBLESS J LEMA. .KWASABABU YA 4-0 KULE ARUSHA KWENYE CAMPAIGN ZA UDIWANI...au mazee mnaonaje?
 
zimebaki siku 3 na masaa machache sana kukaribisha mwaka 2014, ni mwaka ambao tunatarajia vitimbi na sarakasi za kila aina kuelekea chaguzi mbalimbali za serikali za mitaa.

Sasa basi wakati tunauaga mwaka huu wa 2013 ungeambiwa utoe tuzo ya nobel kwa mwanasiasa bora wa wa tanzania kwa mwaka 2013 ungempatia nani?

Unafiki wa kichama tuache pembeni

tindu etiphas lissu
 
Back
Top Bottom