Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Wewe ndiye mwana JF NILIYEKUDHARAU KUPITA WOTE kwa mwaka 2013 , UMETIA AIBU SANA !
 
Mh.L.Lusinde kafanya makubwa jimboni kwake.Mtera zamani ilikuwa inamulikia wengine lakini ssa nimetonywa jimbo lote linawaka umeme tena si mgao na pia minara waliahidi na Mwenyekiti wake 2010 kwenye kampeni ametimiza jimbo lote mitandao swafii!La mwisho kamshauri PM asiachie uenyekiti wa kikao chao,mana ingekuwa uPM ndio byebye jamani hapo barabara sijataja,afya,elimu Lusinde go go!2015 jimbo kiulaini kamanda unalichukua tena.Nimeandika maneno mengi ili wengine ambao wangehoji kwanini Mh Lusinde.Vote 4 Lusinde.
 
...makamanda wa chadema woote ukimtoa zito...
 
Nilitarajia tupige kura kumtafuta kiongozi ambaye amewatumikia watanzania vizuri nakutimiza wajibu wake vizuri, watanzania tuachane na wanasiasa maana wakati wa kutafuta wanaonekana wazuri wakishapata wanatusaau na mifano tunayo ya kutosha,tupime mtu kwa uchapakazi wake sio maneno jukwaani.
 
mkuu mbona hamuwakubali watu wanaofanya vizuri Mwigulu hana rekodi mbaya kwa wananchi wala serikalini.

Utakuwa na mtindio wa ubongo! hivi huyu muuaji naye mwanasiasa? ni kutomtendea haki MNYIKA kumulinganisha na huyo MUUAJI
 
Back
Top Bottom