Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

Kuna uzi upo since last week tungeujaza tu ule ule kwani una the same aim
 
Ningempa EDWARD LOWASA,
Edo sababu ni;

i. Mtu makini,

ii. Anajua nini anacho fanya kwa mda husika na kwa wakati husika.

iii. Ana malengo na nchi yake.

iv Ana huruma na nchi yake yuko tayar kufanya lolote kwa ajiri ya wa Tz. Na n.k
 
Zitto Kabwe.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Sugu (mwanamke -------- hubomoa Nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe na Serikali ------- ya ccm kupitia baraza la mawaziri hubomoa nchi kwa mikono yake yenyewe)
 
Naona Dr. Slaa anakimbiza laana..

Dr. Slaa hata ukienda kumshindanisha kwa watu wa mashambani amabao hawajawahi kuona mkutano wala kiongozi wa CDM atashinda tu... huyu baba ni chaguo la Mungu kama ilivyokuwa Daniel na Mpango wa Mungu
 
Tundu lisu

Hakika huwezi taja siasa za nchi hii kwa mwanasiasa bora 2013 bila kumtaja Tundu Lissu, ni mwanasiasa aliyetikisa bungeni, nje ya bunge, mtetezi wa wanyonge mahakamani, kiboko ya mwanasheria mkuu, kinara mkuu katika mchakato wa katiba, bingwa wa kupambana na kesi za kubambikiza, mwanasiasa aliyemwiba hata kwa raisi wa nchi aliyebeba hotuba yake miezi michache iliyopita akiitwa mzandiki eti tu kwa kuyasemeya yale anayoyaamini kwa nguvu! hahika Tundulissu ni jembe sana mwaka 2013!
 
Back
Top Bottom