Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Simba inavyokuja Mechi na Yanga ubovu wote unaisha.
 
Ni kama Arsenal kuifunga Manu, hata Manu iwe mbovu kivipi na Arsenal iwe kali kivipi, kichapo kipo pale pale kwa Arsenal ndani na nje. Yanga ndo Arsenal.

Taratibu ndugu, huu mfano wako hau.apply hapa. Tusiharibiane mood!
 
Mbona sioni wana yanga humu
Mmesepa!!!!! Njooni bhana hayo magori tunawatania tu!!!! teh
 
Huyu Maximo inabidi apigwe kura ya kutokua na Imani nae.
 
Maximo lazima arudi kwao,anatuletea akina Emmerson na Coutinho kumbe wauza matikiti tu kule Brazil! Mpeni timu Minziro au Mkwasa
 
Back
Top Bottom