Nani msumbufu hapa?

Nani msumbufu hapa?

ilikua inatakiwa elimu ya mapenzi mahusiano na ndoa iingizwe kwenye mitaala ya kufundishia huko shuleni na pia iingeingizwa pia kwenye katekisim huko makanisani. maana mpaka leo hii mapenzi yameweza kuleta shida zisizotatulika katika jamii zetu hadi inatisha kwakeli.
 
Hao wa sitakinataka wako wengi sana,kupata mwanamke mwenye msimamo sio kazi ndogo..
 
Ndo tatizo kubwa walonalo wanawake wengi hawana msimamo wa moja kwa moja ni sitaki nataka na defensive mechanism ooh ananisumbua sana kumbe keshaliwa mda
Na hii ina uhusiano na tamaduni zetu plus uswahili..ila the more western she goes ndio pia uwezekano wa staki nataka unapungua.Ila ellimu dunia inasaidia kupunguza hizi longolongo zao!
 
Sometimes na nyie hamuelewi. Mtu unamwambia no, you clearly show that you're not interested lakini bado atakutext kila sikuu japo haumjibu. Hapo inabidi kumwonea huruma tu na kumblock asipoteze muda wake.
 
Back
Top Bottom