Nani mshindi?

Nani mshindi?

Mnandi Jr

Member
Joined
May 30, 2026
Posts
22
Reaction score
29
Salam.

Je, ninani mshindi kwenye hili?! Ni yule alieitisha maandamano na (hayakutokea), au serekali iliyo apa kuzuia maandamano na (hayakutokea).?

KUMBUKA: serekali imetumia gharama kuzuia,
Alieitisha maandamano hajatumia gharama yeyote..

Amani iwe nanyi.
 
Upande wa serikali kuna watu wamepiga pesa ndefu sana kwenye hiyo movement.

Upande wa waliopush agenda ya maandamano wamefeli big time, maana lengo lilikuwa raia watokei kwa wingi bila woga kuandamana lakini matokeo wote wamefyata mkia, tafsiri yake hawajawa tayari kukabiliana na vyombo vya dola.
 
Salam.

Je, ninani mshindi kwenye hili?! Ni yule alieitisha maandamano na (hayakutokea), au serekali iliyo apa kuzuia maandamano na (hayakutokea).?

KUMBUKA: serekali imetumia gharama kuzuia,
Alieitisha maandamano hajatumia gharama yeyote..

Amani iwe nanyi.
Na sabasaba imevurugwa
 
Tumeshindwa wote kama taifa

Wewe Unafikiri hiyo hasara iliyo ingia serekali nani atailipa? Kama sio sisi wenyewe wananchi?

Tuache kujifariji.
 
Hii ni Kenya leo hii
hata kwao palikuwa na mipango ya maandamano
Ni wananchi ndio wamekosa hela kama maisha yao ni kutoka ndio ule, na gharama za ulinzi watazingezea kwenye tozo, na utazilipa wewe mwananchi
Kwahio acha kutishia nyau wakati ni wewe ndio unaeumia


 
Back
Top Bottom