Na sabasaba imevurugwaSalam.
Je, ninani mshindi kwenye hili?! Ni yule alieitisha maandamano na (hayakutokea), au serekali iliyo apa kuzuia maandamano na (hayakutokea).?
KUMBUKA: serekali imetumia gharama kuzuia,
Alieitisha maandamano hajatumia gharama yeyote..
Amani iwe nanyi.
Imetumia kodi zako, hakuna gharama yoyote waliyoingiaKUMBUKA: serekali imetumia gharama kuzuia,
Hii Kenya leo
Na huko pia wamepigwa pini walitaka kuandamana
View attachment 3624601
View attachment 3624602
View attachment 3624603
View attachment 3624604
View attachment 3624605