ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,587
- 44,832
Kuna wafanyakazi wenzako wawili wote ni watu wako wa karibu mnakaa wote mnakunywa kula na kulewa pamoja sasa niambie yupi ni mbaya zaidi yaani tabia zake havumiliki yaani unayefikiri anakufanyia unafki zaidi.
Wa kwanza yeye akipewa hela akulipe hakulipi kwa muda anatafuta namna akunyengenyenge asikupe haki yako kamili unayostahili na ukikaa vibaya hata pesa hatakupa yaani ni jambazi haswa kwenye pesa yako ya halali.Na kwa kuwa yeye kamba yake ndefu ni senior kuliko wewe so matumizi yake makubwa so anahitaji more money ndo maana anajikuta anawapiga pesa kufidia matumizi yake badala akupe 300000 anaweza kukupa 150000 na kwa kuwa una shida basi unachukua kishingoupande.
Kwa mfano kapata mchoro ambao anatakiwa awashirikishe mkapige kazi yeye anaweza kwenda kupiga kimya kimya ila yeye hana time na mademu zako yaani mashemeji zake ni yeye na mademu zake tu tamaa na mwanamke asiye wake hana.
Wa pili yeye sio mkatili kwenye hela kama kuna hela kapata na anatakiwa akupe lazima akupe na tena sio mchoyo kama kuna sehemu kapata pesa lazima akugaie kidogo kifupi hana tabia ya kudhulumu pesa ya mtu hata kama kuna mwanya wa kufanya hivyo hawezi kucheza na maisha ya mtu, hasa kwenye kipengele cha hela yako.
Ila yeye tabia yake ukimtambulisha kwa baadhi ya mashemeji zake basi ataanza kujisifu jisifu au kukukandia na pale ukikaa vibaya ukatoka namba atamuomba ukikaa vibaya atamtongoza yaani kifupi yuko na tabia za umalaya kila mwanamke anataka amuonje na hasa zaidi akipiga vibia viwili vitatu.
Kati ya hao wawili nambie nani ni mbaya zaidi katika maisha yako?
Wa kwanza yeye akipewa hela akulipe hakulipi kwa muda anatafuta namna akunyengenyenge asikupe haki yako kamili unayostahili na ukikaa vibaya hata pesa hatakupa yaani ni jambazi haswa kwenye pesa yako ya halali.Na kwa kuwa yeye kamba yake ndefu ni senior kuliko wewe so matumizi yake makubwa so anahitaji more money ndo maana anajikuta anawapiga pesa kufidia matumizi yake badala akupe 300000 anaweza kukupa 150000 na kwa kuwa una shida basi unachukua kishingoupande.
Kwa mfano kapata mchoro ambao anatakiwa awashirikishe mkapige kazi yeye anaweza kwenda kupiga kimya kimya ila yeye hana time na mademu zako yaani mashemeji zake ni yeye na mademu zake tu tamaa na mwanamke asiye wake hana.
Wa pili yeye sio mkatili kwenye hela kama kuna hela kapata na anatakiwa akupe lazima akupe na tena sio mchoyo kama kuna sehemu kapata pesa lazima akugaie kidogo kifupi hana tabia ya kudhulumu pesa ya mtu hata kama kuna mwanya wa kufanya hivyo hawezi kucheza na maisha ya mtu, hasa kwenye kipengele cha hela yako.
Ila yeye tabia yake ukimtambulisha kwa baadhi ya mashemeji zake basi ataanza kujisifu jisifu au kukukandia na pale ukikaa vibaya ukatoka namba atamuomba ukikaa vibaya atamtongoza yaani kifupi yuko na tabia za umalaya kila mwanamke anataka amuonje na hasa zaidi akipiga vibia viwili vitatu.
Kati ya hao wawili nambie nani ni mbaya zaidi katika maisha yako?