Nani mmiliki wa Primefuels (T) Ltd?

Are you thick or something!!!!??????
Wewe inakuhusu nn hata zikiwa elfu, Wabongo mmejaa majungu tu, fanyeni kazi mnunue ya kwenu. Hamkawii kusema RA na EL kwa jinsi mlivyo wazito kufikiri.
Shame on you......

Nina mtizamo kama wa massaiboi lakini tofauti kidogo....Kusema kweli tangu nimejiunga JF naona wanajamii wengi wanapenda kuulizana hiki ni cha nani na kile ni cha nani....na mara nyingi makampuni haya huwekwa bayana kuwa ni ya mafisadi papa na watu wengine mashuhuri a.k.a wakubwa ....lakini ninajiuliza kwanini tunapenda kujua haya yote wakati hatuyafanyii kazi yoyote au hayatusaidii chochote? Labda niulize swali la kizushi....hivi mtu akijifunza kwamba governor wa kwanza wa ujerumani tanganyika alikuwa akiitwa richard tunbull au vita vya majimaji viliongozwa na kinjekitile na mwingine akajifunza namna ya kupaisha ndege au namna ya kutibu ugonjwa wa malaria; kati ya hawa ni nani atakuwa amejifunza jambo litakalomsaidia yeye na jamii iliyomzunguka? The bottomline.....tujifunze mambo yenye manufaa na tuache kupiga soga hili sio jukwaa la soga.....a normal human being should at least learn something (beneficial) in a day....sasa unakaa kuanzia asubuhi mpaka jioni unakuwa umejifunza...kampuni flani ni ya flani na nyingine ni ya flani...inakusaidia nini katika maisha yako ya kila siku ya kutafuta mkate? Haya ni maono yangu and you can argue whatever it suits you....
 
For ALL,
Primefuels ni Kampuni ambayo inafanya kazi Tanzania na Kenya na inaendelea kupanuka katika Africa ya Mashariki. Kampuni hii inamilikiwa na Asif Abdulla ambaye ni mhindi anayeishi kwa sasa Dubai. Kampuni hii inasafisha mafuta na mizigo mingine kwa njia ya barabara na reli pia. Wanasafirisha kwenda nchi jirani ya Congo kupitia TAZARA na barabara pia. Inasafirisha pia kwenda Uganda kupitia barabara na reli pia.
Kampuni hii ina shares pia kwenye kampuni iliyonunua reli ya Kenya (Rift Valley Railways -RVR if I remember well).
Ni mojawapo ya makampuni ya usafirishaji ambayo yanaendeshwa "professionally" katika Tanzania na Africa Mashariki.
Nadhani muuliza swali sasa amepata mwanga. Ukitaka zaidi ni pm.
 
how do a THICK person look like?
I gues you didn't mean to write sick!! no yes I mean a big no.
you canot replace ''s'' with a ''th'' erroneously, If that is the case then you must be sick!!

.. wrong again!! to be THICK or said differently, as thick as a plank, is slang, meaning to be stupid, ignorant, ..lightheaded! Commonly heard in England. There is also being barmy which could be used to described a swahili kingpin heading one of Eastern Africa states.
 
kweli huyu anayeuliza hajaenda shule, leo kauliza hivyo kesho ataailiza coca cola,colgate,pepsi,cadbury hizo kampuni ni za nani? hao wawe na lorry ngapi wamuzie mzigo nani wewe ina kuhusu nini au kwa kuwa hiyo deal umeikosa ndiyo unauchungu nalo
citizen
:wink2:
 
Jamani ... Hebu Mwacheni mtu wa watu ingawaje ustaarabu si jambo la kununulika dukani... nina maana kwamba alieuliza swali ana maana yake na hakuna haja ya kuparura kama makucha ya nyau bila sababu....

Pli Neno thick ni la kawaida kabisa na ni tusi kubwa kwa wazungu ...mtu asije kukuambia are you thick ukafikiria amekosea akimaanisha are you sick... zote thick na thick ni matusi ya wazungu yanayobeba uzito tofauti...

Are you thick ni kama vile mtu akikuambia hivi wewe ni taahira kichwani?
Na akikuambia are you sick ni kama vile amekuambia vipi una upungufu wa mawazo? au hivi wewe ni opunguani wa akili?

Neno Thick ni tusi kubwa kuliko sick maana haya manano hutumia mara nyingi na wazungu wenye ma hasira yao au kama wakiudhiwa na mtu kama wewe na mimi waweza kusema hivyo in a heat of the moment.... hii ni kwa tafsiri yangu na tafadhalini msije mkanikimbilia kuniambia hebu leta source... haya ni maneo ya mitaani sana kama vile maneno kihiyo, zezeta, zuzu, Jero au wekundu wa msimbazi yanavyotumika kwa kiswahili cha kawaida....

aisee umeokoa jahazi. Lol!
 
We masiboi ahaa masaiboy ni mtoto wa rostam nini? Mbona unakua mkali hivyo, tunafaham rostam ana tender ya kusafirisha mizigo ya barrick
 
Nina mtizamo kama wa massaiboi lakini tofauti kidogo....Kusema kweli tangu nimejiunga JF naona wanajamii wengi wanapenda kuulizana hiki ni cha nani na kile ni cha nani....na mara nyingi makampuni haya huwekwa bayana kuwa ni ya mafisadi papa na watu wengine mashuhuri a.k.a wakubwa ....lakini ninajiuliza kwanini tunapenda kujua haya yote wakati hatuyafanyii kazi yoyote au hayatusaidii chochote? Labda niulize swali la kizushi....hivi mtu akijifunza kwamba governor wa kwanza wa ujerumani tanganyika alikuwa akiitwa richard tunbull au vita vya majimaji viliongozwa na kinjekitile na mwingine akajifunza namna ya kupaisha ndege au namna ya kutibu ugonjwa wa malaria; kati ya hawa ni nani atakuwa amejifunza jambo litakalomsaidia yeye na jamii iliyomzunguka? The bottomline.....tujifunze mambo yenye manufaa na tuache kupiga soga hili sio jukwaa la soga.....a normal human being should at least learn something (beneficial) in a day....sasa unakaa kuanzia asubuhi mpaka jioni unakuwa umejifunza...kampuni flani ni ya flani na nyingine ni ya flani...inakusaidia nini katika maisha yako ya kila siku ya kutafuta mkate? Haya ni maono yangu and you can argue whatever it suits you....

Mkuu hapo kwenye Red, Wewe mbona unajichungulia inatufundisha nini sisi?....

kwa taarifa... inawezekana mtoa maada ana jambo anataka kutueleza ambalo sisi hatulijui........

Mimi nadhani ni yule yule anaetoa huduma ya vifaa vya vifaa kama Magari makubwa ya kubebea vifusi, matrector, matairi na kadhalika.........
 
Nakujibu kama ifuatavyo:

  1. Ukitaka kujua nani mmiliki wa Primefuel (T) Limited, nenda pale BRELA, Dar es Salaam, Jengo la Ushirika, ghorofa ya nne, kisha waambia unataka kukagua Articles and Memorandum of Association ya Primefuels (T) Limited. Ni HAKI yako, kama Mtanzania.
  2. Utapewa form, utaijaza, kuna gharama yake, kisha utaambiwa ni lini unaweza kukagua. Hivi ndivyo hata waandishi wa habari wanavyopata taarifa kuhusu nani anamiliki kampuni gani. Hakuna usiri tena kama zamani. Mambo yako wazi. Sheria inaruhusu.

Nimeeleweka?

./Mwana wa Haki

Salaam wanaJF!

Hiyo kampuni ni ya usafirishaji wa bidhaa za mafuta (petroleum). Na destination yao ni kwenye migodi ya madini inayomilikiwa na Barrick kupitia kwa African Barrick!

Hii kampuni ina lorries zaidi ya 100! Kwa wale wanaokaa pembezoni mwa barabara ya DSM-Moro-Dom-Singida-Igunga-Kahama-Biharamulo,naamini wanafahamu namna gani hiyo kampuni ilivyo na lorries za kumwaga.

Sasa mmiliki wake ni nani? Kwani kampuni hiyo inaandikwaga kama PRIMEFUELS (T) LTD! Ina mana ipo pia na nje ya TZ,ya hapa TZ ni kama branch. Nani anamiliki mali yote hiyo?
 
Hii kampuni ilikuja Tanzania ikitokea Kenya baada ya kupewa contract na Shell ya kusafirisha HFO na Diesel kwa ajiri ya mining operations za Geita.Baadae waliingia mkataba wa kusafirisha mafuta ya Caltex pia kwenda North Mara wakati huo ikiwa inamilikiwa na Placerdome. Baada ya Shell kutoka Geita, inawezekana wakawa wamepewa contract na BP.Mmiliki wake ni Somebody Asif!
Jamani Primefuels ina shida gani tena? Au imeshachakachuliwa nayo??? One thing I know is that the owner is very connected with within East Africa.
 
Owner wa PF ni Asif Abdulla. Alianza kidogo kidogo akikodisha maroli ya S.B Merali kule Mwanza alipopata tender ya kusafirisha mafuta kutoka Shell kwenda GGM (Geita Gold Mine), baadaye akapata financing akaanza kununua magari yake. Ni mjasiriamali tu. Ana akili na ujanja wa biashara mwingi. Barrick hawahusiki chochote na PRIMEFUELS. Ni mtu humble sana yule jamaa lakini hana mchezo kwenye biashara.

Wana JF msizushe mambo kama hujui nyamaza.
 
Asanteni wakuu kwa maelezo yenu. Nimepata mwanga. Acha niendelee na zoezi langu.
 
jaman migod ya african barrick gold haitumii magari ya PRIMEFUELS wao wanalishwa na oryx na bp(jetfuels) PRIMEFUELS wanalisha migod ya Anglo yani kwa tz ni Geita Gold Mine na barabara wanayopita ni ile inayoelekea Bulyanhulu gold mine ndo mana raia wengi wanazani inatumika na african gold na inasemekana kuna mikono ya vigogo
 
labda tuwachimbe hawa twaweza pata ukweli.
Management Team

The Management of the business combines the experience, knowledge and track record of a dedicated and professional team. These managers are ably supported by supervisors and employees who have grown with the Company
Asif Abdulla,
Managing Director of Primefuels

Qualifications :
Asif Abdullah the CEO has guided the business from start up to the medium sized entity it has become in a very short period of time. The business started with him and one assistant in Mombasa Kenya and has grown into the 200 employee company it is today.
He had previously worked for Shell in U.K. and Shell International for 18 years holding positions held in Finance, Marketing and Corporate Communications.
Paul Eloff,
General Manager Primefuels Tanzania

Qualifications :
Paul Eloff joined the group from 1st February 2009 from BP Tanzania Ltd, where he had worked as the Financial controller. Paul is a graduate engineer and a Chartered Accountant, South Africa. He brings in a wealth of experience from the Oil industry in Southern Africa as well as in the engineering field in South Africa. The Operations Manager in Tanzania is Hadya Basavalingappa who has been with the Company for over 6 years.
Mrs. Jayne Musomba,
General Manager, Primefuels Kenya Ltd.

Qualifications :
Jayne holds a Bachelors of Commerce and an MBA from Nairobi University. Prior to joining Primefuels, she was the Commercial Manager for Kenya Railways for over 20 years. She has vast experience with Rail operations and logistics. Working with her is Sajid Jaffer as the Operations Manager and Davinder Mongia as the Financial Controller.
The above group of managers are supported by a number of other key managers supervisors and the total complement of staff for the two companies currently stands at over 220 employees. The management infrastructure is in place for the proposed growth and with the introduction of one or two more senior managers, Primefuels will be sufficiently staffed for the next year’s growth.
 
Huyo mdau amesema Thick hajakosea yupo right hakutaka kusema sick...sema hilo neno watu wengi hawalitumii sana ila ni tusi kubwa endapo utamtamkia mtu hasa wazungu...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom