obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
Mwisho ya kazi ukutane na kipotable chenye kalio la mviringo and firm halafu liwe limebanwa kwenye skin jeans....mate yananidondoka kama chizi[/Q
mmmh kazi kwel kwel.
Mwisho ya kazi ukutane na kipotable chenye kalio la mviringo and firm halafu liwe limebanwa kwenye skin jeans....mate yananidondoka kama chizi[/Q
mmmh kazi kwel kwel.
Bos,vitu vingine sio kuusemea moyo viko wazi kabisa!Kama hili jambo tunalojadiliana hapa!
Jaribu kutembea kifua wazi utaona tofauti yake na pua au mikono
Kama pua na mikono ! Husn are sure ? So far wanayoyafunika hawako sahihi ? Na ni choise to hide or display ?
Tukuonee wapi sasa ? Tupunge mizuka!
hapa na kataa kwa kuwa haya hufichwa na pindi yanapooneshwa inakuwa ni balaa tupu..
Ni akilli za wanamme zimekuwa wazi na si matiti
kombai tribe hawavai blausi na matiti hayawastui lolote
Hapa kuna ka point flan hivi!
Lakini mmh ! Mna roho ngumu hua hamjali hata sisi waheshimiwa ma'jaji tunalishwa kwa malikuona! Ugali kwa picha ya samaki !
kuna point kabisa
hata huku kwetu
akina mama wenye watoto wananyonyesha hadharani
lakini hakuna hata wanamme wanaowaangalia
sababu mind yao imewakubali wanaonyonyesha kuwa wanaweza toa matiti yao na yasiwashtue
wanamme funikeni akili zenu ili wanawake nao wafunike manyonyo yao
mshaambiwa mfunike akili zenu na sisi ndio tutafunika matiti yetu.
haina mlengwa. Mtu anavyaa apendavyo. Ni kuthibiti tamaa yako tu
Husn ! Excuse, nna swali la kizushi nauliza machale yangu yanahisi wewe na Arabianfalcon mnaishi jirani is't ? Au kama si hivyo itakua mna nearest relation. Niko sawa au ?