werason nguli asiyechuja mwenye kasi na kwenda na muda na mwenye kujua hadhira inataka nini wakati gani, acheni dharau na kumtafutia mshindani ambaye hata yeye huyo mshindani anajua kama wera ni mikosi!huwezi kufananisha nguli na chipukizi!....fally mkali zaidi ya golla ila si mkali zaidi ya wera