Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,170
- 3,021
Hizo sizifaham.. atakuwa underdog huyo...Shy Guy,
Lies,
Etc.
Hizo sizifaham.. atakuwa underdog huyo...Shy Guy,
Lies,
Etc.
Uwiii sema tu humfaham au tafuta hizo nyimbo ukisikia utakumbuka coz naiman lazima uwe umemsikia.Hizo sizifaham.. atakuwa underdog huyo...
Leo nta download hizo....!!! Ntakupa feedback. ..Uwiii sema tu humfaham au tafuta hizo nyimbo ukisikia utakumbuka coz naiman lazima uwe umemsikia.
Jonny Cash ni miongoni mwa ma legend wa country musics. Huyu mtu si wengi sana wanamfahamu but he was and still among the best today. Ni miongoni mwa watu walioweka mark kwenye genre ya country.Pia kuna mkongwe Johnny Cash.....
Mimi ni mpenzi sana wa country musics and i have lots of albums from different artists. Kenny ad Don are all best country artists. Lakini nikiambiwa niweke mapenzi yangu upande mmoja basi nitaweka kwa Don Williams. Yule mzee kazeeka na sauti yake kama ilivyo yani, yuko very calm anapoimba. Ukiweza fuatilia albums zake zote utaelewa. Ni mzee wa ballads piaDon William ni hatari...nikisikia nyimbo zake kama vile "Listen to the Radio" na "Good ole boys like me", zinanipeleka mbali mno.
Vipi mkuu. Soul musics ni mpenzi pia?. Maana mimi ni mzee wa zamani when it comes to old musics. Kama hujapata wasaa sana wa kuzama kwenye soul musics, jaribu na hutojutiaNikisema Oldies wote hao wanakua included,
Pia Kuna wakina Tina Turner, Phil Collins, Chris de Burgh, Luther Vandross, New Edition, Cliff Richard, Roxette, Vanessa, Judy, Doly, bila kumsahau Lionel Richie, etc.
Ni mzee wa zamani au kijana wa zamani?Vipi mkuu. Soul musics ni mpenzi pia?. Maana mimi ni mzee wa zamani when it comes to old musics. Kama hujapata wasaa sana wa kuzama kwenye soul musics, jaribu na hutojutia
Ha ha haaaaa. Mzee.Ni mzee wa zamani au kijana wa zamani?
Teh teh teh,
Napenda pia, ila kwa kua ww umebobea zaidi huko nipe japo mwanzo then niangalie nilizonazo na kama sina nipate kutafuta.
Kuna mtu anaitwa Hank Williams. Tafuta nyimbo zake. Ni miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kuingia kwenye country hall of fame.duhh hapa pagumu wote wazuri .
ila itabidi mi niende na Kenny Rogers.
Funny enough ndio namsikia leo.Kuna mtu anaitwa Hank Williams. Tafuta nyimbo zake. Ni miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kuingia kwenye country hall of fame.
Johnny Cash naye yuko vizuri sana. Kuna album inaitwa Out among the stars iko safi sana. Nikipata muda nitapick some songs then nikupe majina. UtazipendaFunny enough ndio namsikia leo.
Nimesikiliza hiyo nyimbo yake "Hey good looking" imetulia.
Mwingine ambae napenda nyimbo zake ni Johnny Cash nyibo yake "Ring of fire" , "Take me home, country roads " aliimba John Denver pia Dolly Parton.
Asante mno.Johnny Cash naye yuko vizuri sana. Kuna album inaitwa among the stars iko safi sana. Nikipata muda nitapick some songs then nikupe majina. Utazipenda
Karibu mkuu. Ni jambo jema kukutana na watu wenye kupenda ladha sawa na zile upendazo. Tafuta George Strait, yuko poa sana naye. Pia kuna mtu anautwa Collin Raye.Asante mno.
Kama hujui bora ukakaa kimya waimbaji karibu wote wa country music wana nyimbo za gospelMkuuu don william hana gospel music. . Ume mfananisha na don em....
Nyimbo wanazo nying. . Jim reevs ndo mzee wa gospel. .acha kutokwa na povu.Kama hujui bora ukakaa kimya waimbaji karibu wote wa country music wana nyimbo za gospel
Tafuta wimbo unaitwa I cross my heart by George StraitAsante mno.