Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,261
- 18,251
Joline.Kuna ngoma ya dolly parton ya doreen naikubari sana anajua sana yule mwana mama
Joline.Kuna ngoma ya dolly parton ya doreen naikubari sana anajua sana yule mwana mama
Mkuuu don william hana gospel music. . Ume mfananisha na don em....
Juddy Boucher is a Reggae and RnB Singer.Alan Jackson? Juddy Butcher?
Country tamu sana.
=Boucher.Butcher haimbii country music. ..
Kuna Whitney Houston .. na wimbo wake ule I will always love you. ...Juddy Boucher is a Reggae and RnB Singer.
=Boucher.
Sawa, nae aliucopy kwa Dolly Parton, eenh turudi kwenye mada nani mkali kati ya Kenny na Don.Kuna Whitney Houston .. na wimbo wake ule I will always love you. ...
Mbona huo wimbo umeimbwa na wanamzik wengi tu... I will always love you.. sema the origin sijui nani kaimbaaa.Sawa, nae aliucopy kwa Dolly Parton, eenh turudi kwenye mada nani mkali kati ya Kenny na Don.
Mkuuu don william hana gospel music. . Ume mfananisha na don em....
Hao jamaa huwa nashindwa kuchaguaa nani mkalii.. Mwanzon nilikuwa namwona kenny mkali enz hizo sijui nyimbo hata moja ya don... baada ya kupata nyimbo za don. . Kumsikiliza dahh wote ni 50% to 50%..Sawa, nae aliucopy kwa Dolly Parton, eenh turudi kwenye mada nani mkali kati ya Kenny na Don.



The gambler
Loving arms
Lucille
Coward of the county
I will remember
Oh! My Love
She believes in me
VS
We should be together
We've got love
I've been loved by the best
It's good to see you
Say it again
Lord i hope this day is good
Amanda
Turn out light/Love me tonight...
Daah huu mpambano aiseee ni wa kukata na mundu.....nakubali sana vocal ya Keny ila Don kwa mistari tu ni habari nyingine.....kashanipa madem wawili huyu don kupitia "we should be together" na "say it again".......
Ila keny ndo kanifanya nisikilize country na kuzipenda kupitia ngoma yake ya "coward of the county" Nani zaid? Wote zaidi!!!
"I Will Always Love You" is a song written in 1973 and originally recorded by American singer-songwriter Dolly Parton. Her country version of the track was released as a single in 1974. It was written for her one-time partner and mentor Porter Wagoner, as a farewell since they were professionally parting career paths as Parton had chosen to pursue a solo career.Mbona huo wimbo umeimbwa na wanamzik wengi tu... I will always love you.. sema the origin sijui nani kaimbaaa.