MENDE JEURI
Senior Member
- Apr 6, 2011
- 198
- 28
Typical CHADEMA typeLeo haujatomaswa nini ukapata raha na unatafuta kupewa raha humu?
Typical CHADEMA typeLeo haujatomaswa nini ukapata raha na unatafuta kupewa raha humu?
Hapo hamna kitu, kama wapo serious wamrejesha kutoka ubalozini Capt Mstaafu Jaka Mwambi atasaidia, ametulia na ameshawahi kuwa naibu Katibu Mkuu mwadilifu
Hapo hamna kitu, kama wapo serious wamrejesha kutoka ubalozini Capt Mstaafu Jaka Mwambi atasaidia, ametulia na ameshawahi kuwa naibu Katibu Mkuu mwadilifu
Mimi ni mchango wangu tu! Kwa kuzingatia mchango mkubwa wa Kingunge Ngombale Mwiru, wa kutumikia chama kwa uadilifu mkubwa mimi napendekeza JK amteue Kinjekitile Kingunge Ngombale Mwiru kuwa Ktibu mpya wa CCM!
Nawasilisha maoni yangu wewe unaona nani awe?
Mimi nakataa...
Nyadhifa nyeti kama hii, tena katika kipindi cha dhoruba kama hiki - apewe Sheikh Yahya... Uwezo wa kuona mbali, uadilifu na zaidi 'his Unquestionable loyalty' kwa JK havina mfano
Kuweni siriaz japo kidogo...Ambikile Mwasapile, anakubalika sana.....