muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
No wonder waliahirisha bunge Ijumaa kumbe matumbo yalikuwa yanaharisha. But, Seriously, JK atapata nani msafi na mwenye akili timamu ambaye ni mwanachama wa ccm kwa sasa anayeweza kuwa katibu mkuu wa ccm?
Kama mafisadi wataendelea kubaki ndani ya ccm ni nani ndani ya ccm anaweza kuwadhibiti?
Katibu mkuu mpya gani anaweza kufanya kazi na timu ya mawaziri wa sasa ambao wengi ni mafisadi? Je, alitakiwa pia avunje baraza la mawaziri?
Amefanya uamuzi mzuri kuvunja Secretariat, lakini hata wapambanaji ndani ya ccm ni mafisadi, ni viwango tu
Ni bora tu angevunja chama chenyewe kuliko kufanya cosmetic surgury ambayo itakuja kuumuka kama pua ya marehemu Michael Jackson.
Update:
Hii thread hadi sasa imepata zaidi ya post 70 lakini hajapatikana mwana ccm mwadilifu, asiye fisadi, mwenye elimu, mchapakazi.
Kama JK angekuwa anategemea kupata ushauri hapa basi labda atafute wajumbe nje ya ccm au hata nje ya nchi
Kama mafisadi wataendelea kubaki ndani ya ccm ni nani ndani ya ccm anaweza kuwadhibiti?
Katibu mkuu mpya gani anaweza kufanya kazi na timu ya mawaziri wa sasa ambao wengi ni mafisadi? Je, alitakiwa pia avunje baraza la mawaziri?
Amefanya uamuzi mzuri kuvunja Secretariat, lakini hata wapambanaji ndani ya ccm ni mafisadi, ni viwango tu
Ni bora tu angevunja chama chenyewe kuliko kufanya cosmetic surgury ambayo itakuja kuumuka kama pua ya marehemu Michael Jackson.
Update:
Hii thread hadi sasa imepata zaidi ya post 70 lakini hajapatikana mwana ccm mwadilifu, asiye fisadi, mwenye elimu, mchapakazi.
Kama JK angekuwa anategemea kupata ushauri hapa basi labda atafute wajumbe nje ya ccm au hata nje ya nchi