Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,922
- 734
Leo ndio lile jina la mtu ambalo Kikwete anapendekeza awe Waziri Mkuu litawasilishwa bungeni kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge. Je? Ni nani ataweza kufanikiwa kunyakua nafasi hii nyeti serikalini?
Mizengo Kayanza Peter Pinda