Ni ndoto nzuri sana kuiota, INAPENDEZA na INALETA LADHA masikioni Kusikia hivyo! kwa maana ana maamuzi yule mzee wa G....:israel:Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.
Sita alikuwa na unafiki, hakuwa moto wala baridi, alikuwa vuguvugu, sasa kiongozi wa hivyo hafai, hata bible imesema atatapikwa. Ukifuatilia mambo mengine ya kipuuzi aliyowafanyia wapinzani utagundua kuwa he was not very good kwao. Zito Kabwe kusimamishwa, mzee wa Mapesa, aliamuriwa akae chini kama kinda. Halafu baada ya kutishiwa kunyanganywa kadi, akauzima mjadala wa Richmond, so hana msimamo, na pia kuna madai ya ubadhirifu na umangi meza.
Kuna madai ya kujipatia expensive furnitures, kujenga ofisi kubwa ya mbunge huko urambo kwa watu maskini kupita sehemu nyingine yeyote. Pia yapo madai ya matumizi mabaya ya magari ya serekali kuhudumia vijumba vidogo etc. So nadhani CCM ilikuwa na kila sababu ya kumtupa. CCM inajua ni nani fisadi na ni nani sio, kimtazamo wangu nadhani Six ni fisadi pia, period!!Well done CCM
ANA MAKINDA NDIYE SPIKA KWA VIGEZO HIVI:-
1. WANA CCM WOTE WATAMCHAGUA YEYE
2. KUMBUKA CCM NA CUF WAMEUNGANA HIVYO HATA MREMA ANAONEKANA KUJUINGA NA CCM HIVYO WABUNGE WOTE WATAMCHAGUA ANA NA KUWA NA KURA NYINGI.
3. CHADEMA "NGUVU YA UMMA" INAWABUNGE WACHACHE HATA KAMA ITAUNGANA NA NCCR MAGEUZI HAWATA WEZA KITU.
NCHI IMEKWISHA.
SITTA ANASTAHILI ALICHOFANYIWA KWANI:-
i. ALIKUWA NA NAFASI YA KUPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA RAIS WAKATI WA TUKIO LA LOWASSA ILIAIOKOE NCHI AKAONA CHAMA NI BORA HIVYO BAADAYE AKATAKA KUJIUNGA NA CCJ AKASHINDWA WAJOMBA JAMAA HAFAI. WAMEONA WAKIMPA TU ANAWEZA AKAJIJENGEA UMAARUFU ILI 15 AGOMBEE URAIS KAISHA HUYO.
mh watakuwa wamelisha sumu ili waweze kumtuliza vizuri nini...hapo akipata atajisahauu na maneno aliyokuwa anajifanya kuyapinga na kuyapigania yatapotelea hewani
CIJAONA MFALME JUHA HUMU NDANI KAMA WEWE, kama huna kitu cha kukoment nenda kalale na bwana wako..
CCM NI CHAMA KILICHOWEKEA DRIP, NA KUMTEMA SITA NI KUKIPELEKA JEHENAM HIKI CHAMA. I HATE TANZANIA POLITICS, AND CCM AT ALL.
NCHI inapelekwa kchwa kchwa. CC ya hk chama tawala knafanya maamuz utadhan wamelaaniwa na NYERERE...
Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.
Ama kweli wewe hujui siasa zinavyokwenda, 6 ndo kushey, watu wanajipanga for 2015
mh watakuwa wamelisha sumu ili waweze kumtuliza vizuri nini...hapo akipata atajisahauu na maneno aliyokuwa anajifanya kuyapinga na kuyapigania yatapotelea hewani