Mkalukungone mwamba
Member
- Aug 29, 2022
- 82
- 174
Wachezaji hao ndio vinara wa magoli kwenye NBC Premier League ambapo mpaka sasa wamefunga magoli 15 kila mmoja na hadi sasa timu zote zimesaliwa na michezo 3 pekee kutamatika kwa ligi kuu msimu huu
Msimu uliopita hadi ligi inatamatika wachezaji wawili wa Yanga na Simba ambapo ni Fistoni Mayele aliyefunga magoli 17 sawa na Saido Ntibazonkiza naye alifunga magoli 17,ila kwenye usiku wa tuzo za ligi wote walipata kiatu cha ufungaji bora
Ila kwa msimu huu ni Feisal Salum wa Azam Fc na Aziz Ki wa Yanga
Hadi sasa Mabingwa ni Yanga ambaye ameutetea Ubingwa wake kwa mara 3 mfululizo hapo msimu huu kikosi hicho kikiwa chini ya kocha Gamond
Msimu uliopita hadi ligi inatamatika wachezaji wawili wa Yanga na Simba ambapo ni Fistoni Mayele aliyefunga magoli 17 sawa na Saido Ntibazonkiza naye alifunga magoli 17,ila kwenye usiku wa tuzo za ligi wote walipata kiatu cha ufungaji bora
Ila kwa msimu huu ni Feisal Salum wa Azam Fc na Aziz Ki wa Yanga
Hadi sasa Mabingwa ni Yanga ambaye ameutetea Ubingwa wake kwa mara 3 mfululizo hapo msimu huu kikosi hicho kikiwa chini ya kocha Gamond