MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Embu tuchambue kwa undani bila biase,kwa kupiga kura tufahamu nani atakuwa KIFARU hawa jamaa wawili wakikaa kwenye TV au Radio kwa mahojiano ya moja kwa moja na wananchi wenzao wa Tanzania. PIGA KURA YAKO KWA KUANDIKA DR.KIKWETE AU DR. SLAA