Nani kawashauri "Castle lite" kumleta Msaani Future kutoka USA

Nani kawashauri "Castle lite" kumleta Msaani Future kutoka USA

Sasa tunaakaaje Kimya wakati wanatutangazia tena tukalipie kiingilio...au mwenzangu we walipiwa ..
Njoo Nikulipie , kumbe povu lako ni kulipiwa tu .. Njoo ulipiwe ....


Kama Huna hela ya Kiingilio Kaa kimya na sio kusema humjui future , Na ukitaka show za bure nenda Kahudhurie Mikutano Ya Mwakasege
 
Hehhh.,!! Kumbe wakolimije mpo wengi humu....

Hamumjui Future.

Lisilokuhusu achana nalo Mkuu. Si kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.

Kuna baadhi ya vitu katika maisha ni bora kuviacha vipite..koz huusiki navyo.
 
Hiz bang tunazokula ipo siku tutaumbuka... Mask off, honest, neva end, turn on the light etc we co wa mjin
 
Hata ule wimbo alioshirikishwa na ace hoo- Bugatti hamuuujui,kush je,duu wanaume wa dar mnazingua aje chuga
 
Future ni moja kati ya msanii mgeni katika industry na amefanikiwa sana amefanya kazi nyingi zilizofanya vizuri kama soul artist kama vile honest, turn on the light, dirty sprite pia uwa hakoseagi kwenye duo like Bugatti, tapout yah so Mimi mpenda burudani nishauri tu hapa castle light wameleta mtu sahihi kwa wapenda burudani sahihi.
 
Future he's too cheap? ? Mmmh.

Jumpman vipi!
Some commas nayo vipi.

Ft truck ya love me nayo vipi. Usimu-underate future mkuu.
Future n Mwana hip hop mzuri lakini kwa aina ya mziki wake na hapa kwetu kwenye Makinikia bado hana mashabiki wengi..

Mzee wa Top up yuko vzur.
 
Mleta thread nafikiri atakua sio mpenz wa ngoma za U.S maana huezi niambia eti Future hafahamiki hapa bongo kama we humjui kausha huku mtaani kwetu mshakaj anafahamika kinoma pia we unasema alete wasanii wa 90s wakat wabongo walio kua wakiskiliza hzo ngoma kipind hio sahz ni walez (baba / mama) wa familia huo muda wa kwenda kwenye shoo wataupata wap

Kumleta Rihanna bongo itabid kiingilio cha kawaida kiwe 100,0000 kwa local cjui V I P watafanya sh ngap
 
Future n Mwana hip hop mzuri lakini kwa aina ya mziki wake na hapa kwetu kwenye Makinikia bado hana mashabiki wengi..

Mzee wa Top up yuko vzur.
Yeah mashabiki sio wengi. Ila sio msanii mdogo. Kwa mtu yeyote anayesikiliza mziki japo kwa week mara moja lazima amjue.

Tofauti na tracks zake kafanya ft kubwa duniani kama love me, hold ya DJ khaaled
 
Anayesema Future hajui kitu anifuate pm nimuimbie 'Turn On the Light' na Low Life.

Awe Ke
Umefanya nianze kuisikiza hiyo Ngoma mida hii hii... Kwanza beat yake tuu unasikia kama utumbo unahamia kifuani.[emoji3]
 
Yeah mashabiki sio wengi. Ila sio msanii mdogo. Kwa mtu yeyote anayesikiliza mziki japo kwa week mara moja lazima amjue.

Tofauti na tracks zake kafanya ft kubwa duniani kama love me, hold ya DJ khaaled
Jamaa ana sauti Unique, style ya uimbaji kwa hisia afu kama hataki vile.. Pia anatupia vyuti vinamtoa.
 
Mask off..
Honest..
Daah nyinyi future ni moto mwingine kabisah!
 
Umefanya nianze kuisikiza hiyo Ngoma mida hii hii... Kwanza beat yake tuu unasikia kama utumbo unahamia kifuani.[emoji3]
We jamaa hebu acha utani, ngoma kazi kama hiyo unaidhalilisha?
Ok kwahiyo kwa hapa bongo nani anamfunika Future?
 
Bora wangemleta Diamond Platnumz..... From New York City...
 
Sijaidhalilisha... Namaanisha ina mkito wa maana.
Ila tukiwa sirias, hip hop kwa sasa imebadilika haipo kama enzi hizo sasa hivi auto tune kila mahali. Na biti zinazotamba ni traps.

Wamekuja wakina Desiigner, ghafla tunamsikia Ty Dolla $ign naye akitumia auto tune kwenye ngoma ya Swalla.

Hivyo Future kwa hip hop ya sasa anauzika vizuri tu. Bill Nas naye anatumia mno auto tune kwenye ngoma zake.
 
Sipendi muziki wake but he's the real deal at the moment. Kama humjui inamaana wewe sio mlengwa inaonyesha umeshapitwa na wakati
 
Back
Top Bottom