Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,938
Pesa Hakuna Ya Kumleta Msanii Mkubwa
Hii track huwa namuangalia Amber Rose tu....!
Luda...ATL....Southern hospitality.....Nakumbuka kumwona kwenye WSB-TV siku amekuja ku shoot hiyo video.
ATL baby....huku kuna Future...pale kati kuna Migos...upande mwingine kuna Tip na Jeezy...bila kumsahau Guwop himself...Gucci Mane.
Na hapo wala sijamtaja Usher [well nishamtaja sasa😀] achilia mbali OutKast....
ATL is loaded with talent man!
Mkuu hii ni Castle Lite wenyewe. Mawingu na wengine hawashiriki hata kutengeneza jukwaa. Ndio maana kuna siku Mawingu walikuwa wanapiga majungu kuhusu hii concert.Hizi deal wanaozichonga ni watu wa mtaani kama kutoka mawingu. Castle lite anakuwa anachangia fedha tuu. Wanaangalia na faida yao kuleta mtu kama Rihana si mchezo au Weezy f baby
Sawa mlevi Mbobezi.Wafanya biashara wanaona mbali sana. Binafsi nahisi wameangalia wapenzi wa castle lite kwanza then wapenzi wa Future. Walevi tunapenda kulewa kwanza muziki baadae. Ndomaana kabla wengi wetu hatujalewa muziki huwa tunauskiliza tuu ila tukilewa magoma yote huwa matamu maskioni.
Uyo future ni nani kwanza
Mzazi mwenza na Ciara.. ( au hata ciara humjui!!)Uyo future ni nani kwanza
Sasa tunaakaaje Kimya wakati wanatutangazia tena tukalipie kiingilio...au mwenzangu we walipiwa ..Mask Off - Future & Kendrick Lamar
Tafuta huo wimbo unakimbiza huko kwa Trump, ... Kama hamuwajui wasanii muwe mnakaa kimya ... Ukute wewe ni shabiki wa msondo Ngoma Mambo DAB utayajulia Wapi