Nani kawaloga wakina mama wa Dar?

Nani kawaloga wakina mama wa Dar?

Dafugwadu

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
4,734
Reaction score
5,249
Imekuwa ni jambo la kawaida kabisa kwao baadhi ya kina mama wa mkoa huu wa Dar kuwakuta wamevaa mavazi yasiyowastahili kwa mfano unamkuta mmama kavaa kitop na tight jeans na ukimuangalia unajua kabisa hii ngoma ni 45+.

Ndio kusema magauni siku hizi sio dili? Maana naona mafundi chereheni wanaishia kushona suti za madereva wa daladala na makonda wao ikizidi sana ni sare za wanafunzi na suruali za waimba kwaya.
 
Utoto ukitamalaki mbele ya wakubwa ni sawa na panya kucheza gwaride kwenye ghala lisilokuwa na nafaka.....
 
Hao ujue wa kuja, Wenye Dar yao wanavaa mabaibui, jilbabu, madera na wanashona hadi Leo...Kama unabisha nitafute nikupeleke Kariakoo na Tandika na Ilala uone mafundi wanavyogombana na wamama kuhusu nguo zao....
 
Tena wanawake wa hivyo wengi wao wamejibua,yani sura kama parachichi bovu puuh
 
Wanajifanya wanakufa na FASHENI waende. kanda ya ziwa wanawake wawafundishe jinsi ya kujistiri.
 
Mbona hata huku mikoni wapo wengi sana tu hao. Tena unakuta mtu amejichubua na mikono ina michirizi unaweza kukimbia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom