Mengi Ayoub
Member
- Apr 20, 2022
- 56
- 46
😂😂 Hatimaye nimekufahamu mkuuMimi hapa ndiyo nimetuma, halafu Manara hajafungiwa na choko yeyote yule. Nasema uongo ndugu zangu?
Sawa.😂😂 Hatimaye nimekufahamu mkuu
Unajua hata katika familia au maisha ya kawaida huwezi ukamtusi au kumfanyia mtu jambo baya bila uwepo wa nguvu ya ziada huku nyumaKwani hawezi kuwa mwenyewe hadi kuwe na mtu nyuma yake? Wewe kama unamjua huyo aliye nyuma yake si umtaje
Sawa mkuuHizo news outlets mbele yake huzioni? Kaangalie wenzio wanawekewa ngapi, then ukuje tujadili.
Kumbe hakukuwa na ulazima wa kujibu mkuu.Sasa kama wewe mwenyewe unayekaa na kumfuatilia Manara na harakati zake hujui.. tutajua sisi tulio bize na mambo yetu.?
Huyo jamaa alishawahi sema kwenye timu moja hapa nchini washabiki na wanachama wake mamilioni wenye akili Ni wawili tu yaani Baba yake na JK wa Msoga.
Na hakuna mtu aliyejaribu kumgusa Kama alivyowahi leta dharau yule kaburu Luc Eymael ambaye aliadil
Ila siku zote mtoto akidekezwa sana ipo siku atakuja kudhalilisha familia mbele ya wageni , matokeo yake nafkiri ni haya sasaHuyo jamaa alishawahi sema kwenye timu moja hapa nchini washabiki na wanachama wake mamilioni wenye akili Ni wawili tu yaani Baba yake na JK wa Msoga.
Na hakuna mtu aliyejaribu kumgusa Kama alivyowahi leta dharau yule kaburu Luc Eymael ambaye aliadhibiwa na mamlaka husika.
😂😂Manara atuachie Mpira wetu aende kwenye Matarumbera arithi mikoba ya Kiroboto, angalau huko anaweza kubwabwaja na kusasambua
Nyuma ya Manara kuna kinyesiView attachment 2305915
Habari zenu wakuu?
Bila shaka mu wazima wa afya... Leo hembu tukae tujadili hili , je ni nani yupo nyuma ya Haji Manara? Mara zote amekuwa akirudia jambo lile lile la kuzarau mamlaka husika.
Tuliona wakati ule anatoka Simba sc alitoa siri na maneno kadhaa yenye kuuzi kwa CEO na Rais wa heshima wa club hiyo ya Simba , lakini hao wote walikaa kimya.
Tukaona juzi amefungiwa kujihusisha na soka lakini hakuridhika akaita Press nakuongea mambo ambayo kimsingi nafkiri ni shutuma ambazo hazikupaswa kuwekwa wazi .
Chakujiuliza , je kuna mtu anaemtuma ili achafue watu fulani? Au kuna club ambayo iko nyuma yake inamtuma ili kuteka attention za watu?
Na je kuna ulazima wa kuelezea siri na mambo uliyofanyaga na mtu fulani enzi hizo mkiwa sawa lakini mnapohitilafiana basi uyaweke wazi?
Naomba kuwasilisha wakuu [emoji120]