Ukweli ni kwamba kamwe huwezi kulazimisha kizuri kionekane kibaya au kibaya kionekane kizuri, magu alikuwa Rais bora na ndiyo mana watanzania wengi (more than 80%) walimpenda, na walimpenda wakati akiwa Rais na sio baada ya kufariki au kuondoka madarakani kama viongozi wengi ambao husifiwa baada ya kutoka madarakani.
Huyu mama ilitumika nguvu kubwa mnoo kushawishi watu wampende lkn kiko wapi? Huwezi kulazimisha kizuri kionekane kibaya na kibaya kionekane kizuri, NEVER